Tatizo Ni Ss tunaopata mda wakujadili nauli za kijinga km za huyu musiba, kufanya hivyo Ni kumfanya ajisikie naye mtu ktk watu. Akiongea viishie huko alikovizungumzia
Anaakisi akili Na uelewa WA anao wawakilisha. Ukiona mbunge mjinga, ujue wajinga niwale walomchagua. Afu wawakilishi WA Dodoma kwann wanakuwa WA tofauti? Living lusinde, mzee WA kupiga vuboko,nkamiaaa. Nikweli watu wadodoma wako km wawakilishi Wao!!!!!
Kweli nimeamini hapa kumejaa ma great thinkers wakutosha. Km mmeweza kusoma Na kuelewa hoja ya mtoa mada, for sure nimewaogopa. Binafsi sijajua alitaka kusema nn Na kikiwa kinasimamiwa Na nn
Kamshauri Rais hasiwaajiri walimu wa Sanaa. Ila ukifika shulen ndo utajua tunatatizo kubwa kiasi gani cha walimu wa kingereza Na Kiswahili hata geographia.
Hivi siku ccm hawapo madarakan, polisi wanao tekeleza aya maagizo, watakuwa ktk wakati gan? Jiulize ,Godbless Lema, Ester buraya, Lwakatare ama sugu, hata Zito anateuliwa kuwa waziri WA mambo ya ndan
Hivi siku ccm hawapo madarakan, polisi wanao tekeleza aya maagizo, watakuwa ktk wakati gan? Jiulize ,Godbless Lema, Ester buraya, Lwakatare ama sugu, hata Zito anateuliwa kuwa waziri WA mambo ya ndan
Kwa mtindo huu, basi sipika anayomamlaka ya kumvua mbunge ubunge wake, make mbunge Ni kipaza sauti cha anaowawakilisha, kumnyamazisha = Na kumvua ubunge kwasababu umezuia kazi yake. Hapo ndugai umechemka.
Hapo mwenye tatizo Ni Eddo au wewe!!! Kabla ya kupost hasa mawazo ya mtu kwanza akikisha unasoma Na kuelewa zaidi ya Mara tatu ama nne. Angalia sasa umejihaibisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.