Recent content by adol2

  1. A

    JamiiForums Tanzania Check mfano huu!

    Mtoto wa mbu aliruka na kufanya safari yake kwa mara ya kwanza. Aliporejea nyumbani babake akamuuliza, vipi matembezi yako umeyaonaje? Mbu akajibu ilikuwa safi sana baba kila nilipopita watu walinipigia makofi! Babake akasema, walikuwa hawakupigii makofi ila walikuiwa wanataka kukuua!! Somo...
  2. A

    JamiiForums Tanzania Kifo cha Dr Masau na Implications yake kwa Wataalamu wa Kitanzania

    Nakumbuka baba mzazi alitibiwa THI ugonjwa wa moyo baada ya kushindikana hospital zote za Dar! May God rest him in Peace, amen.
Back
Top Bottom