Mpishi anapatikana DSM anajua kupika vyakula vya aina mbalimbali.
Ni mzoefu wa kupika katika shughuli mbalimbali pia chakula kinapikwa katika usafi wa hali ya juu Na gharama zake ni nafuu sana
Anasambaza vyakula katika ofisi mbalimbali kwa oda Na bei ya vyakula ni nafuu sana watu wa hali zote...
Habari zenu?
Husika na kichwa cha habari
Nipo dar es salaam
Nauza novels za watoto wa rika zote
Bei ya novel moja ni Tsh 3,000/=
Ukichukua package ya novels tano bei ni Tsh 10,000/=
Karibuni
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.