Inasikitisha sana tunapopewa fomu za afya alafu ukienda zahanati unatakiwa kulipia elfu 8000 then hakuna kipimo unachofanyiwa na unagongewa muhuri ile fomu tu,
Tunaomba serikali iangalie hili ila kama na hii receipt inajumlishwa ktk marejesho kama ya nauli basi itakuwa sawa maana wamekula ela...
Mwakan watafuta hiyo ada ya sh. 20'000 lkn michango mingine ni ya lazma na haikwepeki, maana ni utaratibu wa manispaa husika..serikali haiwez kupeleka shule mifagio, mafyekeo, dawa za choon, wala serikali haiwez kutoa pesa kwa ajili ya michezo, mahafar, mitihani midogo ya kujipima...
hivyo ada...
Daah!! God is Great!! Leo cjaonekana.humu muda mrefu kutojana na furaha, Naomba kuomba radhi kwa wale wote ambao tulipishana viswahili kutokana na stress za ajira...kwn haikuwa akili yangu...Pia nmewasamehe walionikera na kunikatisha tamaa pia...sasa hivi naanza kukopa nauli trh 1 Chamwino...
Kwa hiyo cc wahitimu zaid ya 40'000 tukifungua tuition centers+shule unadhan itakuwaje? Itaitwa Tuition Centers Revolution au mapinduz ya vituo vya Tuition au tutaitaje? Hakikia nmeamini kuna kusoma na kuelimika, ww utakuwa msomi ambaye hujielewi na hujui unacho kisema!! Am done
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.