Aibu mmekosa nyie mnaokaribisha wat na kuwapa madaraka makubwa,wakati kuna watu ndani ya chama wanapigana uck na mchna lakini hamuoni thamani Yao,wengine wanahamia kutoka upinzani mnawapa nafasi kila kujali kuna wtu wapo pale zaidi ya miaka nane wanapignia nfasi hyohyo,kwakweli inavunja...
Wanaenda chadema kukwapua nafasi za watu kwani chadema hawana wagombea?sio vizur kama mtu unahama chama unaenda kua mwanachama WA kawaida hapo ndo tutajua umependa chama
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.