Asante mungu nimetoka kwenye huo msala nilitaka kuolewa na mnyiha ila jamaa kila nikimcheki anaonekana katili mno alafu stories Zake ni za silaha niwe na kisu sijui kujilinda alafu ukikosana kidogo anatak umlipe hata kama alikununulia biscuit ya elfu tatu lijamaa linaonekana katili nashukuru...
Ndo akili zako zimeishia hapo kwani singo mom sio binadamu yaan mapungufu yote anayo singo mom tu hata akiniongezea watoto ndo vizur watoto ndo ndugu zako wa ukweli alafu tambua hii dunia uishi milele be humble kijana
Mimi ni mwanamke age 30 nina biashara zangu kubwa kidogo zinaingiza mpunga kwa siku sikosi faida ndogo kabisa laki tatu nina mtoto mmoja inshort ni singo mom.
Sasa katika harakati za baishara nilikutana na mkaka mmoja hivi yeye ameoa ndoa ya kanisani na Ana mtoto mmoja. Tulianza kama marafiki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.