Recent content by achauovu

  1. A

    Mkoa wa Mwanza Unahitaji Chuo Kikuu cha Umma kikubwa na kinachoeleweka

    HAKIKA SERIKALI INAPASWA KUCHUKUA HATUA ZA HARAKA SANA. Jiji la pili kwa ukubwa nchini Tanzania kukosa chuo kikuu kikubwa kinachotoa elimu anzia ngazi ya non degree hadi degree na kuendelea ni jambo ambalo halivumiliki hata kidogo. Serikali inapaswa kijenga chuo kikuu, Lasivyo Wanamwanza na...
  2. A

    PreGE2025 Mtu akıkwambia No reforms no election Mjibu Reform zimeshafanyika na uchaguzi utafanyika

    Hatukatia kwamba reforms hazijafanyika, Ni kweli zipo tayari reforms ambazo zitaendelea kuminya demokrasia ya nchi, ni kweli reforms zimefanyika za kufanya uchaguzi usio wa haki na kupora haki za WANANCHI kuchagua viongozi wao wanaowapenda, ni kweli zimefanyika reforms ambazo zimetengeneza mfumo...
  3. A

    PreGE2025 Maswali mazito kutoka kwa mdau

    Hizi karibuni Rais Samia alisema mapungufu yalikuwepo katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa na wamejipanga uchaguzi mkuu kuendeshwa kikanuni na sheria zilizowekwa. Nafikiri kila mtu anapaswa kuwaza hivi... 1) Ikiwa uchaguzi wa serikali za mitaa ulikuwa na dosari basi hata viongozi...
  4. A

    Udhaifu wa Tundu Lissu katika kuongoza unaiuwa CHADEMA

    Umeadika kama mtu ambaye anaomba msaada wa fedha ya kula kwa sababu hana hakika ya chakula chake mwenyewe.
  5. A

    UTPC mmezidi sasa; TAKUKURU ingilieni kati

    Uhuni mkubwa sana unafanywa na UTPC, Taasisi ya UTPC imefanywa mali ya Mkurugenzi na watumishi wake hapo Dodoma na sio Taasisi ya Wanachama ambao ni Clubs za waandishi wa Habari mikoani. Hii ni fedheha kwa UTPC kuifanya taasisi kuwa chanzo kikubwa Cha uchumi wao tu mkurugenzi na watu wake...
Back
Top Bottom