we have to think critically, jamani ccm wanaposema watagawa 50million kwa kila kijiji, je? tuna vijiji vingapi nchi nzima? je jumla itakuwa shs. ngapi? je ni mikakati gani yapo ambayo yatafanya izo pesa zisiwe kama mamilioni ya jk? ambayo takwimu ilibaini kuwa wanufaika wengi hawakuwa...
swala ni uraisi au ufisadi? kama ni uraisi kumbe huyo bwana naye anatoa hizo kashfa kwa sababu hiyo, na siyo kutetea ukombozi wa nchi hii dhidi ya ufisadi kwani ufisadi wa lowasa umeanza leo, au vyombo vya habari havikwepo? je? hajui hatua stahiki ya kuchukua badala ya kujifanya muongeaji sana...
tungemuelewa kama angekuwa anazungumzia mafisadi wote wa nchi hii ambao wanagombea nafasi mbalimbali ambao pia amewahi kuwashtumu ktk list of shame ila kwa mtu 1 mmmmmm!!!!!!!!
ufisadi kafanya lowasa tu, mbona wale wengine kwenye list of shame hawataji, mbona wanagombea lkn yupo kimya hawasemi, hata wa escrow wa juzi juzi hapa tunaona wanagombea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.