Recent content by AccproTz

  1. AccproTz

    Kwa wanaohitaji viwanja vilivyopimwa, vipo Kigamboni

    Viwanja vyetu, vina ukubwa wa 20 kwa 30. Bado vipo
  2. AccproTz

    Consultancy services

    Karibuni ACCPRO CONSULT
  3. AccproTz

    Rafiki yangu ana tatizo sugu la uume kusinyaa

    Hiyo ni psychological issue... Atafute tiba ya kisaikolojia zaidi atapona atakuw sawa... Huyo jamaa ni mzima tena mzima kabisa suala hapo lipo kwenye ubongo wake na namna anavyolichukulia tendo
  4. AccproTz

    Kwa wanaohitaji viwanja vilivyopimwa, vipo Kigamboni

    Vimepimwa kama vinavyo onekana kwenye hiyo sehem ya ramani vipo kigamboni mwasongwa
  5. AccproTz

    Kwa wanaohitaji viwanja vilivyopimwa, vipo Kigamboni

    Kwa atakaye hitaji kwenda japo kuviona vilipo Viwanja... Wikiend hii ya tarehe 16 na 17/December 2o17. Nitaenda site usafiri upo kuanzia kivukoni kwenda na kurud.... Tuwasiliane kupitia 0658 33 99 30 au 0762 06 88 39 ili ukavione viwanja
  6. AccproTz

    Kwa wanaohitaji viwanja vilivyopimwa, vipo Kigamboni

    Karibuni viwanja vipo kigamboni mwasongwa.... Kwa atakae hitaji tuwasiliane bei imeshuka zaid kwa sq m kwa sasa nitakufanyia kwa bei ndogo sana.... Karibu ujipatie kiwanja kigamboni
  7. AccproTz

    Kiapo cha damu kwenye mapenzi!

    Kwani baba swalehe uko na hicho kiungo? Mbona unasema Hichi kiungo... Inamaanisha unacho?
  8. AccproTz

    Kwa wanaohitaji viwanja vilivyopimwa, vipo Kigamboni

    Poa mkuu tutafutane kupitia namba za simu ziliwekwa hapo juu, tufanye biashara. pia ukiangalia vizuri kwa ukaribu kwenye huo mchoro utaona Viwanja vilivyo na ukubwa unaoanzia sq m 6oo ambayo ndio ukubwa wa kiwanja chenye 2o kwa 3o ..... Nitafute mkuu 0658 33 99 30 au 0762 06 88 39
  9. AccproTz

    Kwa wanaohitaji viwanja vilivyopimwa, vipo Kigamboni

    Umeme upo karibu pia ni maeneo yenye makazi yanayoanza kukua.... Karibuni sana kigamboni,
  10. AccproTz

    Kwa wanaohitaji viwanja vilivyopimwa, vipo Kigamboni

    Nitoe shukrani zangu za dhati kwa jf, nimepata wateja kupitia jf, na kwa sehemu kubwa nimewauzia Viwanja kwa bei ndogo sana, kwa sasa nimebakiwa na viwanja vichache... Kwa anaye hitaji tuwasiliane haraka kabla havija isha. Eneo ni zuri mno nje ya eneo lilipimwa kuna eneo dogo litakuwa sehemu ya...
  11. AccproTz

    Kwa wanaohitaji viwanja vilivyopimwa, vipo Kigamboni

    Jaman wana jf, sasa nimebakiwa na Viwanja vitatu tu. Nitatoa ofa ya tshs 6ooo kwa m² badala ya 6200. Kwa hiyo kiwanja chenye ukubwa wa 2o kwa 3o utapata kwa tsh. 3.6 million. Karibuni kigamboni
  12. AccproTz

    Kwa wanaohitaji viwanja vilivyopimwa, vipo Kigamboni

    Mkuu mimi sio dalali, nikuhakikishie hivo na hivyo viwanja ninavyo viuza ni sehemu ndogo tu ya viwanja vyangu nilivyonavyo ndio maana nikimaliza kuviuza vile nilivyopanga niviuze kwa dharura nitatoa mrejesho hapa jf kuwa viwanja vimeisha. Na moja kati ya vitu nilivyovipanga kuviweka sawa ni...
  13. AccproTz

    Kwa wanaohitaji viwanja vilivyopimwa, vipo Kigamboni

    Nipende kuwashukuru members wote wa jf wanaonipigia simu wakihitaji viwanja na wengine wakiniulizia kama viwanja bado vipo, jibu ni kwamba viwanja bado vipo jitahidi tu uwahi mapema ujipatie kiwanja chako kabla havija isha, narudia tena viwanja ni bei nafuu sana wahi mapema upate kiwanja...
  14. AccproTz

    Kwa wanaohitaji viwanja vilivyopimwa, vipo Kigamboni

    Watu wanazidi vinunua viwanja, mwana jf usipitwe, wahi ujipatie kiwanja kilichopimwa kabisa, nipigie simu mda huu tufanye biashara..... Nafasi ni yako sasa.
Back
Top Bottom