Recent content by Account1

  1. A

    Mafuta pure 100% ya parachichi

    .
  2. A

    Mafuta pure 100% ya parachichi

    .
  3. A

    Je, unasumbuliwa na tatizo la kushika ujauzito?

    Habari wana jamvi... Kuna sababu nyingi zinazopelekea mwanamke kutoshika mimba ikiwemo.. Uvimbe kwenye mirija ya uzazi Homone imbalance Magonjwa kwenye mfumo wa uzazi n.k Kuna dawa itakusaidia wewe mwenye tatizo la kushika mimba ukitumia dawa matokeo utayaona ndani ya mwezi mmoja.. Itakusaidia...
  4. A

    Natafuta kazi yeyote halali

    Habari wakuu.. Natafuta kazi yeyote halali hata ya ndani Elimu yangu ni form six Ni mzoefu wa mambo ya uchenjuaji dhahabu Jinsia ni ke Umri 26 Mshahara naomba angalau uwe 150,000+ Iwe Mwanza au Geita Asanteni
  5. A

    Natafuta kazi nina elimu ya kidato cha sita

    Kikubwa ni maelewano mkuu
  6. A

    Natafuta kazi nina elimu ya kidato cha sita

    Sawa labda nimeelewa tofauti na ulichomaanisha
  7. A

    Natafuta kazi nina elimu ya kidato cha sita

    Ndio naweza bila shida
  8. A

    Natafuta kazi nina elimu ya kidato cha sita

    Habarini wakuu, Elimu yangu ni form six Jinsia ni ke Nimejitokezak kwenu kutafuta kazi yoyote halali Kufundisha(naweza kufundisha masomo yote except physics) kwa O-level Kufundisha primary /nursery Upishi pia naweza Kaunta Hata uhasibu naweza mahesabu Kazi yoyote halali naweza kufanya...
Back
Top Bottom