Habari wana jamvi...
Kuna sababu nyingi zinazopelekea mwanamke kutoshika mimba ikiwemo..
Uvimbe kwenye mirija ya uzazi
Homone imbalance
Magonjwa kwenye mfumo wa uzazi n.k
Kuna dawa itakusaidia wewe mwenye tatizo la kushika mimba ukitumia dawa matokeo utayaona ndani ya mwezi mmoja..
Itakusaidia...
Habari wakuu..
Natafuta kazi yeyote halali hata ya ndani
Elimu yangu ni form six
Ni mzoefu wa mambo ya uchenjuaji dhahabu
Jinsia ni ke
Umri 26
Mshahara naomba angalau uwe 150,000+
Iwe Mwanza au Geita
Asanteni
Habarini wakuu,
Elimu yangu ni form six
Jinsia ni ke
Nimejitokezak kwenu kutafuta kazi yoyote halali
Kufundisha(naweza kufundisha masomo yote except physics) kwa O-level
Kufundisha primary /nursery
Upishi pia naweza
Kaunta
Hata uhasibu naweza mahesabu
Kazi yoyote halali naweza kufanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.