Yani mchezaji wa Simba akiguswa tu faulo!
Marefa wetu wanajiondoa sana fahamu, amechezesha dk 3 za ziada baada ya dk 6 kuisha! Na alikuwa hana habari kabisa.
Kuna wakati umenielewa vizuri na kuna wakati hujanielewa, baadhi ya maelezo yako ni sahihi.
KI ufupi ni kuwa, aliyetapeliwa kwa uzembe wake, yeye alichofanya ni kupiga simu Airtel akasema muamala urudishwe, ukarudishwa bila yule wakala kupigiwa Simu. Kumbuka wakala alimuhudumia tapeli kama...
Kabisa!! Sasa badala ya Airtel Money wawe fear, wao wanafanya maamuzi ya upande mmoja!! Haina maana kuwa wakala wa Airtel Money kama wanachukulia mambo rahisi hivi.
Humu jukwaani nyuzi kibao zinalalamikia Airtel Money, lakini wapo kimya!!
Kuna mdada anayeishi Tabata, ambaye aliwasajiliwa laini na mawakala wa Airtel waliokuwa wakipita mitaani.
Bila yeye kujua, mawakala hao walifanya SIM swap kwenye laini yake. Baadaye, wale waliosajili laini hiyo waliitumia kwenda kwa wakala wa Airtel Money na kutoa pesa kwa njia halali—simu...
Hata mimi aisee...clouds imekuwa too much! Kamari siku nzima!
Japo wenyewe hawataki waitwe wanachezesha kamari...kuna siku mshindi alisema nashukuru kushinda hii kamari, walimsahihisha fasta.
Yani buku buku zetu zinatafutwa kwa kila namna!! Yakimaliza maredio sijui wataibuka wakina nani!
Hiyo ni kutokana na wewe unavyotumia line yako ndio wanakupangia vifurushi.
Mimi Wife anapata kama huyo ila mimi gb 1 lazima niwe na elfu 3...tigo hao hao!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.