Hizo basi ni youtong,cku ya uzinduzi nilikuwa kimara na nikaipiga picha,halafu milango IPO chini sana haipo usawa Wa vituo vilivyojengwa,mbona mnatudanganya??!
Mkuu miaka 2 ni sawa na karne 2 za huo mradi ni miezi3 tu kushbehi.gari zenyewe yuotong halafu engine nyuma kwa matumizi ya wabongo ikienda 3/6 imechoka
Binafsi niliangalia kipindi hadi mwisho,anachofanya polepole anahisi ataonekana anazo data nzuri kwa ccm ili wamtumie kuchafua hali ya hewa,Mimi cjawahi kuwa na kadi ya chama chochote chs Siasa,ila kwa umri nilionao Nina kila sababu ya kuhitaji mabadiliko.ccm wanadhani kila MTU ni mbumbumbu Wa...
Tembo wameuwawa kipindi hiki pinda akiwa PM,wakati Wa lowasa hakuna alithubutu kufanya hivyo,pia wakati Wa lowasa alishaeahi kuwaambia mamlaka ya bandari kuwa hataki kuona kaxi zinacmama lazima kazi ifanyike SAA 24,alipoondoka tu uwaziri mkuu,uozo ukajirudia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.