Makamu wa rais, waziri mkuu hawana wajibu wwt watakaoweza kuufanya znz. Na raid wa znz hana wajibu wet kwa Serikali ya JMT.
Pale raid wa znz atakapotambulika kama gavana wa znz kama ilivyo marekani ndio atakuwa chini ya makamu
Kwa hili andiko hata MATAGA wameinamisha vichwa chini.
Nadhani maundeleo ya kwanza na muhimu kwa kila mtanzania ni Uhuru na haki dhidi ya sheria kandamizi kwa serikali ya ccm
Tujaalie bima hiyo iwe ni kwa wazee na watoto pekee. Ambapo idadi hao ni kama watu mil 30. Kwa bil 240 maana yake kila mfaidika analipa shs 8000 kwa mwaka. Hakuna bima ya afya ya kiasi hicho. Kwa Leo ninatofautiana Na wewe
Nataka kuweka rekodi sawa.
Nanukuu
Mfano vitabu vya hesabu vinaonyesha shirika lilipata mapato ya jumla ya shilingi bilioni 100 halafu ikalipa serikali parking fee shilingi bilioni 120. Utasema hilo shirika linaendeshwa kwa hasara linakula hela za walipa kodi sababu limepata hasara ya bilioni...
Soma Quran sura inayoitwa Wanafiki ayah ya 4. Uone pale ukiishi chini ya mtawala katini aliyezungukwa na wanafi unapaswa uishi VP.
AL - MUNAAFIQUN - 4
Na unapo waona, miili yao inakupendeza, na wakisema, unasikiliza usemi wao. Lakini wao ni kama magogo yaliyo egemezwa. Wao hudhania kila...
Kodi ina principal mbili. Kusanya kingi kwa wachache au kusanya kidogo kwa wengi.
Mama keshatoa mwongozo.... Ongeza wigo na maxingira ya walipa kodi wapya kwa kuwavutia wawekezaji. Nadhani unajua umuhimu wa wawekezaji ktk kukushanya kodi..
Sasa sijui ndugu unadhani principal gn inatufaa.
Yenye aliepo ndani kaona kuwa task force za ukusanyaji wa kozi haziko sustainable. Na kwamba itafika siku tra itakosa MTU wa kwemda kumkamua.....
Kwa nikivyomuelewa Mh SSH ni kuwa anatilia mkazo mapato ya serikali yatokane na uzalishaji na sio kutoza wafanyabiashara kodi kubwa kama ilivyo...
Hadi anastaafu alikuwa ni mteule ktk nafasi ya jaji mkuu.
Lkn pia wapo mawaziri waliojumuishwa enzi hizo ulizozitaja hadi Sasa akiwemo Mh Maudline Cyrus Castico.
# Yote kwa yote tuamini kuna tatizo kubwa.
Na tatizo lililopo sasa si Rais kama mtu, bali tatizo mfumo. Mifumo mingi imejaa watu...
Mtoa mada yuko sahihi hata hivyo ameshindwa kutofautisha kati ya wakatoliki na Walei.
Walei hasa ndio wanaangoza utawala na Serikali nchini.
Uwe dhehebu lolote lkn kamati inayopendekeza teuzi lazima ishikwe na Walei.
Kwa ufupi nafasi zote nyeti zimeshikwa na walei.
Walei ni wanataaluma wa...
Ukaguzi ulifanyika lkn huenda ripoti zilizuiwa zisitoke kutoka juu.
Na ukweli kungeleta lugha gongana.
Kwa mpendwa alilishwa natango pori kuwa shirika linaingiza faida
Tz kuna MTU mmoja tu mwenye akili sana. Na nathubutu kusema akili yake amewazidi watz wote hata zikichanganywa akili zao.
Ni bingwa wa lobbying Tz.
Hana makazi maalumu nchi yyt ile.
Ni mwanasisiem maslahi.
Hajaonekana kwa hadhara kwa muda sasa.
Jina la MTU Huyo ni
.
.
.
.
.
.
.
Nimeota...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.