kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 13,934
- 15,699
Hapa Ltd wewe!Bundle tayari lishakata kudadadeeki
Hapa Ltd wewe!Bundle tayari lishakata kudadadeeki
Kwani wewe si mkewe? Sasa unatuulizaje sisi hapa?Amesha rudi kutoka India?
Ofisi ya makamu wa Rais!Kwani Jafo kapelekwa wapi? Maana Madam President amesema hajamwacha mtu!
Inabidi aulaumu mwili wake kwa kuwadanganya watu yeye ni wamo 😂😂😂😂😂Mzee anaendelea kuweka rekodi ya kumtumikia kila kiongozi wa nchi ambaye Tanzania imekuwa naye
Afadhali yeye yupo wodini uwezekano wa kwenda kuzika ni mdogoNdio amemuwacha chairman mswati wodini!
Asiye na wizara maalumu ndio kazi maalumu?Wakati wa Mwalimu Nyerere kulikuwa na Waziri asiye na wizara maalumu na mara nyingi hapa aliwekwa Mzee Kawawa
Hongera mh Mkuchika wewe sasa utakuwa Waziri "kiraka"
Kila zama na kitabu chake.
Maendeleo hayana vyama!
Gang lenu limepigwa karamu sasa hamna pa kula wala pa kulala.Kwa lipi sasa!
Wakati Bashiru kesha timuliwaHapa Ltd wewe!
Hizi online trolling na abuse hupelekea suicide.
Tujitahidi kupunguza.
Mbona hata nyinyi vigogo mmepigwa chini?Gang lenu limepigwa karamu sasa hamna pa kula wala pa kulala.
Bashiru mliye mtegemea abakie ikulu sasa naye wansese oluwaaaaaa
Usisahau ni balozi mdogo wanguWakati Bashiru kesha timuliwa
Mzee wetu Mkuchika sasa Pumzika kwa heshima,Wakati wa Mwalimu Nyerere kulikuwa na Waziri asiye na wizara maalumu na mara nyingi hapa aliwekwa Mzee Kawawa
Hongera mh Mkuchika wewe sasa utakuwa Waziri "kiraka"
Kila zama na kitabu chake.
Maendeleo hayana vyama!
Hii ni wizara pale Rais anashindwa kumtosa mtu, so anajitahidi kummantain kiaina.
Wakati wa Mwalimu Nyerere kulikuwa na Waziri asiye na wizara maalumu na mara nyingi hapa aliwekwa Mzee Kawawa
Hongera mh Mkuchika wewe sasa utakuwa Waziri "kiraka"
Kila zama na kitabu chake.
Maendeleo hayana vyama!
Wakati wa Mwalimu Nyerere kulikuwa na Waziri asiye na wizara maalumu na mara nyingi hapa aliwekwa Mzee Kawawa
Hongera mh Mkuchika wewe sasa utakuwa Waziri "kiraka"
Kila zama na kitabu chake.
Maendeleo hayana vyama!
Na Prof Mark Mwandosya
Acha umbea, mzee hajarudi ila hajambo jkabisa anamalizia mazoezi ya mwisho baada ya kuyaacha magongo, tunategemea wiki ijayo atarudi bongoAlirudi na alikuwa dodoma hospital mpaka siku anaagwa jiwe, huyu mzee wa newala alikuwa mahututi kitandani,. Ngoja nipeleleze tena hali yake ikoje
Vipi ikawa baada ya mkuchika akafata BashiruMzee wetu Mkuchika sasa Pumzika kwa heshima,
hongera kwa kuitumikia nchi yako kuanzia kipindi Cha Mwl. Nyerere mpaka awamu ya 6.