Recent content by abramaleko

  1. abramaleko

    JamiiForums Tanzania Natarajia kununua gari yangu ya kwanza, naomba ushauri

    Ww acha masihara yani gari yenyewe crown na unasema full tank unaenda km700 umeandika sahihi kweli mkuu?
  2. abramaleko

    JamiiForums Tanzania Natarajia kununua gari yangu ya kwanza, naomba ushauri

    Full tank natembelea siku 23-25 ila ss nataka nirecord inakuwa ni km ngap nijue fuel efficiency yake ila najuwa itakuwa sio nzuri sana 🤣
  3. abramaleko

    JamiiForums Tanzania Natarajia kununua gari yangu ya kwanza, naomba ushauri

    Kwa upande wangu naona kitu muhim sana ni kujuwa gari utakuwa unalitumia hasa kwa lipi kama ni daily driver au kwa long trips na kujuwa pia running costs za hio gari ili usilione chungu likishakuwa kwenye umiliki wako
  4. abramaleko

    JamiiForums Tanzania Natarajia kununua gari yangu ya kwanza, naomba ushauri

    Nilichukuwa 12.9M ilikuwa kwa mjeda mmoja aliagiza mwaka jana Japan sema yeye kaenda course nje ya miezi 6 Kaamua kuuza ilikuwa jumla na km 80,000. Nimepata na document zake kama user manual na vingine sijapata muda kuvipita
  5. abramaleko

    JamiiForums Tanzania Natarajia kununua gari yangu ya kwanza, naomba ushauri

    Kiukweli sina accurate value maana huwa naona yanakaribia kuisha najazilizia mfano mara ya mwisho ilikuwa nilitoa 120K ila ww piga hesabu forester karibia zote ni tank ni lita 60 piga kwa litre moja itakuwa shs ngap
  6. abramaleko

    JamiiForums Tanzania Natarajia kununua gari yangu ya kwanza, naomba ushauri

    Hahaha unajuwa mm nataka ile ya Forester ya 2007 ila STI inayokuja manual ya gia 6 .Sema bei zake zimesimama sana aisee
  7. abramaleko

    JamiiForums Tanzania Natarajia kununua gari yangu ya kwanza, naomba ushauri

    Cha kuchekesha nimeamua kushare na nyie majuzi nilimuazima sister aende nayo church alivyonirudishia akasema gari ilitaka kumuingiza mtaroni nikamuuliza kwanini anasema alikanyaga mafuta gari ikaruka mbele sana nikajua huyu alikanyaga mafuta kwa ghafla rpm ikawa juu turbo ikaingia ndio maana...
  8. abramaleko

    JamiiForums Tanzania Natarajia kununua gari yangu ya kwanza, naomba ushauri

    Update: Asante sana kwa maoni yenu na ushauri wenu kwa kuwa sikutoa update mwezi wa 11 mwishoni niliamua kuchukuwa Subaru forester XT ile second generation version ya JDM . So far am loving it sijui kwa huko mbele. Kama nilivyosema nyuma sina mizunguko mingi mara experience yangu ni nikijaza...
  9. abramaleko

    JamiiForums Tanzania Natarajia kununua gari yangu ya kwanza, naomba ushauri

    Mkuu nimependa sana comment yako, hasa hapo kwenye "youth generation" japo umri umeenda kidogo. In terms of option i am open to options ila toaI IST na BMW mm mwenyewe nifanya research hasa hzo E90 zinamatatizo kwenye overheating. Kutoa maelezo zaidi gari nitakayonunua nazini itakuwa second...
  10. abramaleko

    JamiiForums Tanzania Natarajia kununua gari yangu ya kwanza, naomba ushauri

    Asante kwa kutoa experience yako kwenye upande wako wa mafuta ni estimate ya ngap, factor kubwa nazipo reliable.
  11. abramaleko

    JamiiForums Tanzania Natarajia kununua gari yangu ya kwanza, naomba ushauri

    Amna chief naona ulikuwa hujanielewa sio kwamba ni mgeni kabisa kwenye upande wa magari hasa kwenye kuendesha kama miaka 3 hvi so vitu basics kama hvyo navijuwa sema nina ugeni kwenye hasa kununua ndio maana nimeomba ushauri
  12. abramaleko

    JamiiForums Tanzania Natarajia kununua gari yangu ya kwanza, naomba ushauri

    Habari wakuu karibuni natarajia kununua gari yangu ya kwanza ningependa kupata ushauri wenu kati ya hizi gari Subaru impreza (2009/2008) na crown athlete (2005/2006) au BMW 3 Series (2008). Target yangu kubwa ni either subaru au crown sababu nimezifanyia research kidogo tofauti na BMW. Mimi sio...
  13. abramaleko

    JamiiForums Tanzania Halotel Fibre

    Jamani kwa aliyeshatoka kutumia hii huduma ya halotel fibre ipoje na ipo reliable? Mm kwa sasa nakaa goba ila natumia hii router ya airtel 5g nalipia hii 30mbps kwa 110,000 na during peek hours yani haifai kabisa internet ni slow balaa yani mfano mm nafanyaga voice chat mara nyingi via discord...
Back
Top Bottom