Recent content by Abraham2020

  1. A

    Hilda Newton nakushauri kuwa macho na wasiojulikana

    Haya watu wasiojulikana mambo hayo, utawala unayaficha, https://constructionreviewonline.com/news/tanzania/tanzania-secures-us-1-5bn-loan-to-fund-construction-of-550km-of-its-sgr/
  2. A

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    https://constructionreviewonline.com/news/tanzania/tanzania-secures-us-1-5bn-loan-to-fund-construction-of-550km-of-its-sgr/
  3. A

    Inauma sana: Pesa za kununua madiwani, mandege na uchaguzi zipo ila pesa za kupandisha watumishi madaraja na mshahara hazipo

    Halafu ati wanasema Ana Imani na nchi,ati anazingatia matumizi,hawa jamaa wamezugwa,kiukweli hii sehemu ndogo kwa hakika ametia taifa hasara ya matrilioni,na hao wengi anaowazuga vilaza,CCM imetengeneza na inaendelea kutengeneza vilaza wengi.
  4. A

    GE2020 Dkt. Magufuli akishinda, Afrika imeshinda

    Umesahau haya,ameboresha mauaji,utekaji,uharamia na dhuluma pamoja na ukandamizaji wa haki za raia,pamoja na ukandamizaji wa media,na demokrasia,Hali za wananchi kuamua kuongozwa na nani,na kuliondoshea bunge maamuzi yake,kwa kuliteka vile vile,Kama ilivyo tabia yake,kuwagawa watanzania.
  5. A

    Taarifa ya ACT Wazalendo yasema watu watatu wamefariki kwa kupigwa risasi na Polisi huku tisa wakijeruhiwa Zanzibar

    Tatizo askari hutafuta chanzo cha kuwafanyia uharamia wapinzani,sasa Hawaii vijana wadogo ndio wanakuwa victims,tumepata habari ya kuwa askari Pemba wamekuwa wakipita na magari,bila ya kushuka,na wamefyatua risasi kwa raia,waliokaa mabarazani,na kuuwa watu wasio na hatia,nakubali nazi haivunji...
  6. A

    Taarifa ya ACT Wazalendo yasema watu watatu wamefariki kwa kupigwa risasi na Polisi huku tisa wakijeruhiwa Zanzibar

    Hakuna atakayekuwa na Amani ,mpaka tuuondoshe,udhalimu na uharamia
Back
Top Bottom