Umesahau haya,ameboresha mauaji,utekaji,uharamia na dhuluma pamoja na ukandamizaji wa haki za raia,pamoja na ukandamizaji wa media,na demokrasia,Hali za wananchi kuamua kuongozwa na nani,na kuliondoshea bunge maamuzi yake,kwa kuliteka vile vile,Kama ilivyo tabia yake,kuwagawa watanzania.