Matokeo ya Kidato Cha sita waliomaliza mitihani yao mwezi februari mwaka huu,Yanatarajiwa kutolewa rasmi kesho kwa Mujibu wa taarifa zilizotufikia toka chanzo chetu cha habari Kutoka Baraza la mitihani la Taifa~NECTA.Hizi ni habari zilizo tufikia hivi punde
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.