Mimi ni fundi wa kidizaini na kushona hizo hema za aina mbalimbali kulingana na mahitaji yako 0765 815550, nipo dar kkoo gerzani karibu , pia tupo kigamboni ferry. TUTAKUHUDIA VILE UTAKAVYO .
Woiso kajitaidi ila mwambie bosi wako Apache kuchukua reject material toka China anatuumiza wajasiriamari wadogo tunaonunua marighafi kwake, kwasababu mengi yanakuwa hayana ubora, mfano, vitambaa begi za mgongoni. Ni shiida
Wanajamii kama kuna MTU anatengeneza vifungashio vya plastic mifuko ya plastic au kama kuna MTU anajua jinsi ya kutengeneza please naomba muongozo
Sent using Jamii Forums mobile app
msaada, nasumbuliwa na mgongo na sifanyi kazi ngumu.nafuu yake niekewe kitu kizito cha kilo zaidi ya 50 niwekewe mgongoni ndio najisikia nafuu au MTU anikanyage kwa miguu. Mwenye uzito wa kutosha sasa sijui tatizo ni nn.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.