SIKU YA LEO NAPENDA TUJIFUNZE KAMA NILIVYOAHIDI JANA JUU YA MAGONJWA mbalimbali NA MICHEPUKO
Hili ni tatizo kubwa sana na linachangia karibia kwa asilimia 50 ongezeko la hawa wanaume au wanawake wan je,leo nitazungumzia matatizo makuu mawili nayo ni;
A.kupoteza nguvu za kiume kwa wanaume...
Jamani wanaume wenzangu ulimwengu umebadilika sana kwa sasa, zamani ilikuwa tuvumiliane wakati wa shida na raha, siku hizi pesa kwanza mapenzi badaae, asije akakudanganya mwanamke eti anakupenda hivyo ulivyo. Hapana wanawake wa sasa wanataka mwanaume problem solver na yule wa kuafford matatizo...
Kwa majina naitwa abeli kikimba, napatikana mkoa wa Iringa, mimi ni mwandishi na napenda kuandika sana na nimeandika vitabu saba ila bado ni soft copy, naomba mnijuze kama kuna sehemu iringa hapa,mbeya morogoro au dar wanapoprint vitabu kwa bei nafuu itakayompa urahisi msomaji kununua.
Pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.