Binafsi lisu nimwana siasa wa kipekee ametuonyesha kuwa yeye lengo lake nikuiondowa ccm madarakani nandio maana anathubutu kumsapot mpinzani yoyote yule ilimladi tu awe anakubalika eneo usika
Kwa leo ccm mwanza mmetia fola yaani shule zote za mkoa wa mwanza ndio zimewasaidia aibu ambayo mgekumbana nayo, ndio mjue lissu ana maupepo yake tu, kuijaza fulaisha niishara ya nyakati zenye matokeo ya kushangaza
Wakuu salam leo nilikuwa nafuatilia kwa kalibu kampeini za Magufuli kule mkoani mara mara baada ya kupanda kaka wa taifa kama alivyoitwa na katibu makongoro alitiwa mifano mingi mizuri ila miwili tu mifano iliyo nivutia
1. Alisema huwezi kukumbatia jiko la makaa ya moto
2. Alitowa mfano wa...
Mkuu inavyo onyesha chadema kunashida maana hata jana mgombea ubunge jimbo la nyamagana john Pambalu alipositi picha ya 2015 mpaka mtu unajiuliza hivi huyu kweli anafikili kwa kutumia kichwa au hajielewi
Kwa kile nilichokiona leo mwanza nimeanza kuwa na mashaka Nahisi kuna nguvu ya ajabu aliyonayo huyu mhe lissu hatà kama ni mahaba kwa watu wa mwanza hii sasa imepitiliza mpaka nimehisi kuwa inawezekana wale wachawi 900 wamemkimbia mzeee hivyo upepo umegeukia upande wa lissu! Ikiwa upepo...
Mkuu mimi mwenyewe nilikuwa nafuatilia kupitia ile ledio ya taifa gafla mara wakaweka mziki mara waongee wao nahiyo ntimanyongo ilianza tu mara baada ya lema kupanda hapo ndipo mauza uza yalipo anza mh mbowe kapanda tayari walishaanza figisu zao tangu lema akiongea
Wakati mwingine usikimbilie kuleta umbea hapa ilihali kichwa kimejaa kamasi, kwenye hiyo namba 4 usipotoshe watu lissu kasema atawalipa fidia watumishi kuanzia 2015 mpaka 2020 sasa hii abari ambayo unasema makampuni yaliyo taifishwa miaka ya nyuma nayewenyewe yatadai fidia umeitowa wapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.