Hapo mwanzo nilidhani vyama vya upinzani ni zawadi kutoka kwa mungu na vipo kwa ajili ya kuleta mabadiliko hususani katika nchi za afrika, contrary na matarajio yangu kumbe na wao ni wale wale wanaotafuta madaraka na wakishayapata wanagoma kuondoka endapo wakishindwa. Tumeshuhudia chama cha rais...
Hahaha Hili Kombora Limewaingia Ipasavyo, Naona Mnaruka Ruka Tu.. Hamjajibu Title Ya Thread.. Zambia Imefaidika Nini?? Naona Edga Lungu Anaelekea Kushindwa Na Chama Chake Kilikua Cha Upinzani.. Siasa Haina Nafas Tanzania Mpya Tunayoitaka
Siasa Hazina Tija Kipindi Hiki.. Magufuli Yuko Sahihi, Kwa Afrika Hebu Mtoeni Mfano Nchi Gani Iliyo Na Demokrasia Ya Siasa Imeendelea, Hao Ukawa Ni Ma Euro Centric, Hawana Nafas Kwa Kujenga Tz Tunayoitaka
Facts
Pamoja Na Zambia Kua Na Hyo Demokrasia Ya Siasa Bado Ni Maskini.
Magufuli Yuko Sahihi Kuzuia Siasa Tuanze Kwanza Na Demokrasia Ya Kujenga Uchumi.
Nchi Za Tigers Countries, China, Rusia, Britain, France Zilianza Kwanza Na Demokrasia Ya Kujenga Uchumi Refer Britain Katika Industrial...
Neo- Marxist Ni Wafuasi Wa Theory Ya Karl Marx Ambao Wako Kwa Ajili Ya Maslahi Ya Tabaka La Chini.. Najua Kuna Wanaompinga Kwa Kukandamiza Demokrasia.. Mimi Naunga Mkono Hoja Kwamba Kuna Mambo Mengi Watu Wameyasahau Na Kulilia Hiyo Demokrasia Ya Siasa Kuna Mambo Kama.-
Demokrasia Katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.