Recent content by Abega95

  1. A

    Msaada namna ya kusajili chombo cha moto

    Nawezaje kujua usajiri wa chombo cha moto iwe gari au pikipiki kwa kutumia plate number?!.
  2. A

    Wasafirishaji mizigo kutoka Bangladesh kuja Tanzania

    Habari Wanajamii, ni kampuni gani inayosafirisha mizigo kutoka Bangladesh kuja Tanzania? Asanteni
  3. A

    Matangazo ya biashara ya Kariakoo yanarekodiwa na mtu mmoja?

    Habari wana jamii! Ukiwa unapita kariakoo utasikia matangazo ya biashara mengi yaliyo rekodiwa na mara nyingi huwa yanafanana sauti Kana kwamba ni mtu mmoja ama yawezekana kuwa ni mtu mmoja. Ni wapi naweza kupata mtu ama office inayofanya shughuli hizo za utamgazaji wa biashara kwa njia ya sauti?
  4. A

    IVF Clinic mbona ni kama wapo kiutapeli na kibiashara zaidi?

    Habari wana Jamii forums Hivi kuna ukweli wowote juu ya ivf mbona ni kama wapo kiutapeli na kibiashara zaidi ya kusaidia watu, unakuta clinic moja kwa mwaka anaweza akafanikiwa mmoja watakae muweka kwenye post zao za social media na waliobaki wataambiwa warudi na wanalioshwa tena ikiwa kabla ya...
Back
Top Bottom