Sina ufahamu mkubwa kwenye hili ila kuna mtu aliwahi nambia kuna miaka serikali waliwachagua wanafunzi na kuwarudisha katika mfumo wa shule (school candidate) na kuwapangia vyuo vya kati pamoja na A level
Kiufupi namba ya mtihani ndio muhimu kwahyo mm nilikuwa sina hyo kwakuwa huku nilifutiwa usajili wangu kama mwanafunz wa shule na kuhusu kufanya mtihani kwenye kituo unahitaji sifa mbili tu pekee 1.uwe umewahi kufanya mtihani wa kidato cha nne kwahyo unataka kurudia (resister) 2.Uwe umefanya...
Kwa majina naitwa Abdul Komando Mtimbe (19) ninaishi Dar es salaam Tanzania.Nimezaliwa tarehe 07.12.2004
Nimepata elimu yangu ya msingi katika shule ya msingi Mchangani wilaya ya Kinondoni jijini DAR ES SALAAM ambapo nilianza mwaka 2010 na kumaliza 2016 na nilifanikiwa kujiunga na elimu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.