Recent content by abdulraman

  1. A

    Hivi mpaka sasa kuna mtu mwenye akili anaamini kuwa Lowassa atakuwa Rais?

    Tobo atapigwa LOWASSA na atakae mpiga ni MAKONGORO NYERERE.
  2. A

    Hizi ni Salamu za pongezi kwa Ali Kiba

    Na la ziada ni kuwa utaratibu wa kiongozi kuzungumza na wananchi moja kwa moja ulianzishwa na JAKAYA KIKWETE. Ipo mifano mingi maeneo mbalimbali. Halipingiki hilo. Kikwete amehudhuria misiba ya raia wake ilhali ni Rais kuliko hilo babu lenu ambalo lilikuwa likitumia muda wake kutafuta urais...
  3. A

    Hizi ni Salamu za pongezi kwa Ali Kiba

    Eti anawasikikiza wananchi. Alipokuwa anaiingiza xhi kwenye mikataba ya kuwatesa wananchi hakujua kuwa kuna watanzania??
  4. A

    Hizi ni Salamu za pongezi kwa Ali Kiba

    Na mwanzo wa kishindo ulikuwa jana. Mpaka babu yao kachanganyikiwa leo kaamua kwenda kwa daladala . Kaona LEXUS zake hazina mwendo.
  5. A

    Hizi ni Salamu za pongezi kwa Ali Kiba

    Wameingiwa hofu kwa namna CCM ilivyojiandaa kuchukua tena nchi. Walipoona CCM Imekaa kimya walidhani tumeishiwa. Kumbe walisahau kuwa kimya kingi kina mshindo mkuu.
  6. A

    Hizi ni Salamu za pongezi kwa Ali Kiba

    safi sana. Waambie hao magwanda. Wanaumwa sana kwa kupigwa bao la kisigino.
  7. A

    Hizi ni Salamu za pongezi kwa Ali Kiba

    Mnaumwa nyinyi. Kama juyo babu yenu.
  8. A

    Diamond analeta ukabila nchini

    Haya ndiyo matumizi mabaya ya mitandao.
  9. A

    Diamond analeta ukabila nchini

    Hivi hamjui kirefu cha chama chao ni CHAGGA DEVELOPMENT MANIFEST.
  10. A

    Diamond analeta ukabila nchini

    Huna maadili hata kidogo ndo nyinyi wanywa viroba vya bure. Na hapo bila ya shaka umeshavinywa.
  11. A

    Diamond analeta ukabila nchini

    Ila tabia ya mtoto ni matokeo ya tabia za wazazi wao. Hivyo unatupa picha halisi ya malezi ulitolelewa wewe kijana uliyemtukana LUCY.
  12. A

    Diamond analeta ukabila nchini

    Jibu hoja. Mimi ndo maana nasema kuwa nyinyi vijana wa ukawa mumechanganyikiwa kama yule babu yenu Hamujielewi kabisa. Ndo maana mzee mkapa akawapa jina lenu jana.
  13. A

    Diamond analeta ukabila nchini

    Matusi ya nini sasa,
  14. A

    Mgombea Urais kwa tiketi ya UKAWA Edward Lowassa, akiwa kwenye daladala leo asubuhi

    Anapoteza muda wake tuu. Ikulu tayari ina mwenyewe. Nae ni JOHN MAGUFULI.
  15. A

    Mgombea Urais kwa tiketi ya UKAWA Edward Lowassa, akiwa kwenye daladala leo asubuhi

    Anayafanya haya kwa sababu hakuwahi katika maisha yake kupanda daladala. Ameona maji yako shingoni ndo anayafuta huruma za wananchi.
Back
Top Bottom