Baba wa taifa la Tanzania Mwl. Julius Kambarage Nyerere mzaliwa Kijijini butiama.
Alizaliwa tarehe April,1922 na alikua ni mtoto wa chifu Nyerere Burito Alipewa Jina la Kambarage kumaanisha “roho inayotoa mvua”
kwakuwa alizaliwa siku ambayo mvua ilikua inanyesha.
Shujaa huyu wakizanaki...
Kwani nimesema ni kosa kuoa msichana aliyepevuka ?
Au ni kosa kwa msichana aliyepevuka kuolewa ?
Kila kitu kinasababu ya Kwanini kinatokea kwa waarabu wa zama zile hili jambo lilikuwa la kawaida na ilikuwa inasisitizwa msichana anapopevuka aolewe
Na huwezi fananisha zama zile na hizi
Hili...
Sawa Kama ni suggestion na mimi pia ni scholar Nasema alikuwa mdogo zaidi ya aisha ra
Suggestion yangu unaikubali ?
Maana ni suggestion tu Ila alikuwa ni mdogo
Kwahio Kumbe una Amini mitume inakosea na huwa wanamatamanio Kama sisi wanadamu wengine
Na mtume Muhammad (saw ) alimuoa aisha akiwa na miaka sita na kujamiiana nae akiwa na miaka Tisa kwakuwa alikuwa ndio kashapevuka na Alfaa kuingilia mama huyu
Hakuoa na kumuingilia apo apo na watu...
😂aya ninmajadiliano ya hoja ushapanic
Mbona kwenye bibilia inaelezwa kwamba
Yakobo alimuona Raheli, ambaye alionekana kuwa mdogo kwa umri wakati wa ndoa yao.
Daudi pia alimuoa Abigail, ambaye alikuwa mke wa Nabal, alifanywa kuwa mke wa Daudi baada ya kifo cha Nabal
Kuna Sulemani alioa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.