Recent content by abdul2002

  1. A

    Mwenye uzoefu mishahara ya TPSC INARANGE VIPI

    mkuu kujua ni jambo muhimu sana ili kuangalia na kufanya analysis ajira sio msaada unaprovide input na mshahara ni output kwang mimi vitu muhimu kwangu ni mshahara plus je hiyo sehemu itaikuza career yangu kama unajua itakuwa vyema ukinisaidia
  2. A

    Mwenye uzoefu mishahara ya TPSC INARANGE VIPI

    Habari wakuu mwenye uzoefu wa mishahara na benefit nyingine za TPSC zipoje atleast hint kidogo
  3. A

    Kuwa shortlisted kwenye usaili mwingine baada ya kufanya oral siku 12 nyuma

    mkuu kwani kwenye post nimesema siendi ? nimeuliza tu sio vyema kuconclude bila ya uhakika
  4. A

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    je ukifanya interview ya oral kama siku 12 nyuma then ukaitwa kwenye usaili mwingine hii inamaanisha oral umeliwa kichwa??
  5. A

    Kuwa shortlisted kwenye usaili mwingine baada ya kufanya oral siku 12 nyuma

    Habari wakuu natumai ni wazima wajuzi wa mambo naomba msaada nilifanya interview ya oral ajira portal software developer Ega nasubiri majibu but nimekuwa shortlisted kwenye interview nyingine TPSC Je ni ishara kuwa interview ya Ega sikujafanikiwa kufanya vizuri maana interview ilikuwa imechangamka
Back
Top Bottom