Kuna uzoefu wa siku 1, wiki 1, mwezi 1, mwaka 1, miaka 2-5, 5-10, 10+
Hapo kila mtu anauzoefu, inategemea tu ni wa muda gani.
Sasa wewe unajua hao waliopewa walikuwa na uzoefu wa muda gani??
Kama haujui basi ndicho anachokisema Dennis Robert Shughuru, nanukuu “acha kutetea ujinga”
Na mwisho kabisa, hapo hapo kwenye notification brother Maxence Melo, ukiingia kwenye notification hata ukishaisoma io notification bado inabaki kama unread, kwaio mtu unajikuta una notification nyingi ambazo umeshaziona na kuzisoma mpka ubonyeze read all ndio zinaondoka.
Yes, kwenye app ya zamani ipo, ila kwenye app mpya hakuna. Na hii comment yako imenifanya nijie tatizo jingine
Maxence Melo, pia notification ikiingia na ukienda kuangalia sehemu ya notification unaiona lakini hakuna sehemu ya direct reply, kuna sehemu ya kuview thread only, of which ukiclick...
Kwanza nianze kwa pongezi, hii app ya sasa 🔥🔥🔥, pili nije kwenye changamoto sasa. Hii yakwanza naona umeitolea ufafanuzi.
Lakini changamoto yangu ni kuhusu verification, kuna watu ambao walikuwa verified ikiwemo mimi kabla ya update, but the moment nime update tu naona verification imepotea...
Labda hukunielewa, sikusema hupaswi kuchangia mada sababu hujasoma sheria, you get me wrong.
Nilisema kama hata hufahamu kitu kidogo na chepesi kama hicho basi usingestahili kuchangia mada, hasa kwa namna ulivyokuwa unachangia, na huo ndio ukweli.
Lakini kama umeridhika na majibu uliyopewa...
“Sio suala la kunufaika, bali kulinda hadhi ya uwakili”
Nadhani hicho ndicho kila mtu anatakiwa aelewe, hili sio suala la maslahi binafsi bali ni suala la maslah ya umma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.