Recent content by Abdu_22

  1. Abdu_22

    Nimekaa nimewaza nipo Tanzania lakini naishi kama mkimbizi kula yangu kama mpira wa danadana

    Mwanng ntaend kukata mbao Dunia ya watu weupe ntakuwa saidia Fundy huko ila bongo kazi kubwa mshahar kidole Cha mwisho.
  2. Abdu_22

    Nimekaa nimewaza nipo Tanzania lakini naishi kama mkimbizi kula yangu kama mpira wa danadana

    Hizo za mmb ya migration ni akili yangu 2 yakijasusi inanambya iwe Kam njia ya mm kufika ulaya., ko mpk apoh kiongozi MAMTONI NDYO LENGO LANGU
  3. Abdu_22

    Nimekaa nimewaza nipo Tanzania lakini naishi kama mkimbizi kula yangu kama mpira wa danadana

    Habari, nimekaa nimewaza nipo Tanzania lakn naishi kama mkimbizi kula yangu km mpira wa danadana Kuna muda uanguke Kuna muda uturie mguuni, Imefika hatua wazazi nilienda likizo mara Moja nimewaambia natak nirudi. Wakaniambia hawanikataz ila nakuwa nimerudi hatua Moja nyuma kimaisha umri...
  4. Abdu_22

    Kazi za Hotelini Zanzibar

    Kivipi kiongozi mana. Nlikuwa natafuta comment ya maana kama hii.
  5. Abdu_22

    Naomba msaada wa kufika Ulaya

    Hii njia ipo vp...kesho niende msikitini nkatangze
  6. Abdu_22

    Naomba msaada wa kufika Ulaya

    Hii ni movie kbxaaah
  7. Abdu_22

    Bado nina ndoto ya kwenda Ulaya

    Ntafikaje huko kiongozi utaratibi upi nifate...
  8. Abdu_22

    Bado nina ndoto ya kwenda Ulaya

    Mm kote nipo lkn olah watu wa morogoro wanasemaga karagabao... Penpal word,meet 2, Extentsworddating
  9. Abdu_22

    Bado nina ndoto ya kwenda Ulaya

    Ushauri mzur... kwasabab kun wakati nafikiria niende Kambi za wakimbizi niwe mkimbizi Kenya au kigoma.
  10. Abdu_22

    Bado nina ndoto ya kwenda Ulaya

    Mimi moja ya vijana wenye ndoto na Ulaya binafsi yangu sina connection yoyote ya kwenda huko ila nakumbuka zamani nikiwa shule ya msingi nilikuwa na ndoto za kupata mwanamke wa KIZUNGU Ili iwe rahisi mm kufika huko, mpaka sasa kiukwel sijui hata huyo mzungu nampatia wapi. Nimewasilisha hili Ili...
Back
Top Bottom