Nakodi wanalipa ccm pekeyao. Barabara zinazojenga wana changishana kwenye vikao vya ccm . Hii ndo inawapa kiburi muone hili taifa nimali ya ccm .mpaka vikao vya ccm mnafanyia ikulu.
Hivi huyu mzee mna monaje?kakupa kazi ya ukuu wawilaya ukauza kwakura 3 .Leo hii umeanza tena kuomba kazi. Yeye mwenyewe yuko busy anapambana nauchaguzi. Nenda kampigie magoti dialo akupe kibarua.
Umesema zima .tena unasema linataka services na kubadili matairi. Na ww nidereva wahilo gari??kama ww nitumishi ww idara nyingine huoni huo ni unafiki umeandaika??
Kwani hiyo miaka mitano nyie mlimpigia kura??nyie mlimchagua kafulila yeye akafanya makeke yake akatangazwa. Sasa mlitaka awanyenyekee wakati hamkupigia kura.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.