Kahawa pamoja na viungo vingine huwa vinachanganywa pamoja na kusagwa kabisa kiwandani (mfano wa kusaga viungo vya pilau). Mtu anayepika kinywaji huwa ananunua Ule unga/masala ambayo yameshachanganywa na kusagwa kabisa so anaweza hata asijue kwa uhakika kilichomo ndani ...
Kwahiyo inawezekana...
Ni kweli kwamba kila kitu kina side effects zake , iwe kitu hicho ni natural au artificial. Inategemea but mara nyingi NATURAL side effects zake si kama ARTIFICIAL unless mtu atafanya excess or too much use..
ANKASUS is pure natural 100% (coffee+spices+herbs)
kwanza naomba nikurekebishe...
Hii ya Tanzania inaitwa ANKASUS na sio AL-KASUS kama walivyozoea wengi kuiita... Na ile ya Arabuni Pia haiitwi ALKASUS bali inaitwa ARQASUS..
ANKASUS(tz) na ARQASUS(arab) ni vitu viwili tofauti.. Binafsi sijawahi kunywa ARQASUS lakini naifaham kijuujuu tu kupitia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.