Habari wana jf, nina mjomba ambaye Ana tatizo la kisukari, kwa sasa Ana kidonda ktka mguu ambacho kilitokana na kuchomwa sindano.
Naomba kujua kama kuna mtu ambaye amewahi kupitia changamoto hii, na alikabiliana nayo vipi kupata tiba ya kidonda na mtu anayefahamu dawa ya asili please anisaidie!
Mie navona baba o sio kaka yako bali kuna namna mnayo, mama o karudi home kwake kapata game ya uhakika, kaja kwako anatoa visingizio mama o amemnyima ili uendelee kuamini bado una umuhimu kwa baba o!
Alipata TB kama miaka 3 iliyopita, akatibiwa akapona, badae akaenda kucheck wakasema kuna chembe chembe za mchanga kwenye mapafu, miezi miwili sasa ndio akaanza kuumwa wiki iliyopita aka wa anashindwa kuvuta hewa vizuri anakohoa sana, baada ya mpira kikohozi kimekata
Habari za jioni wakuu, kama kichwa kinavyosema hapo juu, nina ndugu yangu Ana shida kwenye mapafu, uwezo wake wa kuvuta hewa ni mdogo naomba msaada kwa yeyote mwenye kujua, kwa sasa anatumia mpira! Asanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.