Uki
Uki i-balance vizuri hakuna haja ya ku-boost kwa nje wala nini unasubiri hadi sekunde ya mwisho ukichomoa tu wazungu haaoo kama wana mfukuza mwizi vilee.
Wadau kwa mwenye utaalam na vifaa umeme naomba mnisaidie kazi ya hiki kifaa. Kimeandikwa maneno haya kama ifuatavyo:
NEOSTAR
TC - 300W
AC - CONVERTER
220V TO 110V
50Hz - 60Hz
MAX - 300W
masada wenu wadau hiki kifaa kina kazi gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.