Watu walikuwa wachache ukilinganisha na mikutano ya CHADEMA. Maana mkutano wa CHADEMA huwezi kupata nafasi ya kukukaa kama ilivyo kwenye mkutano wa mafisadi.
Wanaosema zzk ni mpiganaji, mbona zawadi ya uanaharakati? Alipewa mwenye msimamo, mh. David K (suala la escrow). Zzk hajafanya lolote kwa escrow kwa manufaa ya wananchi bali kwa manufaa yake na ndo maana hakupewa yeye. Yeye alidandia kama kawaida yake. Lengo lake ni kuharibu upinzani lakini...
Zzk hakuna kazi aliyoifanya kwa maslai ya taifa bali ilikuwa ni kisiasa na manufaa yake, ndo maana ripoti aliilinda kwa moyo wote. Alipewa kazi ya kuchafua watu kisiasa, ndo maana hakuweka majina waliochukua pesa kupitia stanbic bank. Kama angekuwa mzalendo angepigana mpaka kupata hayo majina...
Wewe ndo mpumbavu! Sababu: hujajibu maswali niliyouliza badala yake umeishia kutukana. Aliyekufundisha hukumuelewa kama ulienda shule. We pinga uchunguzi wangu kuhusu huyo mwehu wenu kwa hoja na si matusi. Hivi ulisomea chuo gani?
We hukunielewa! Soma tena. Na kama unasema spika aliwabana wabunge wachache, je wao walipoamua kunyanyuka kwenye viti, zzk alinyanyuka? Zzk alichofanya ni kukubali hoja ya chenge(mwizi -escrow). Na kama unakumbuka zzk alibadilika baada ya kutuhumiwa kuwa na yeye alipata mgawo. Kwa nini waliopewa...
Vile vitu vilikuwa vipya na hilo lilionesha uongo wa polisi waziwazi. Lakini wajue siku ikifika hawatajua kama ni polisi mbele ya wananchi maana wametuchosha.
Mnaomtetea zzk kuwa si msaliti nifafanulie hili: kwa nini alikubali mawazo ya chenge ilhali alikuwa anajua kuwa na yeye ni mtuhumiwa kwenye wizi wa escrow? Na kama ni mzalendo kwa nini hazidi kupambana na serikali ili iwafilisi waliyochukuwa pesa hizo kama maamuzi yalivyotolewa bungeni? Mwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.