Mimi nakutia moyo kazana kuomba, mume mwema unapata toka kwa Bwana, wakati ukifika Mungu atakupatia mwenza wa Maisha yako, lazima uelewa Mungu anakusudi na wewe, tulia tuliza akili, usihangaike, tunza mwili wako, muda ukifika kusudi la Mungu litatimia, utapata mume wa Maisha yako, be blessed dear