Aaah wapiiiii vimeseji vilikuwepo ndio ila sio vya kusababisha kuvuliwa Pichu mostly ilikuwa ni kuchat na my friends na kusoma visa hapa na pale pia kuna website ilikuwa ya novels ndio muda mwingi ilikuwa unaishia huko
Nilikuwa siingii kama naingia chooni lazima niombe ruhusa na nilikuwa narudisha simu weekend sababu ndio siku ambazo wazazi wanakuwa nyumbani muda wote baba sana ni Sunday
Ni aibu sana kitu unafanya kwa siri ghafla kikajulikana hadharani🙌. Upande wangu kama ambavyo ilivyo kwa watoto wengi hasa wa kike nilikatazwa kutumia simu mpaka nifike kidato cha nne,jambo ambalo binafsi sikukubaliana nalo.Nilipewa hela ya tuition nikanunua simu kiswaswadu nikawa natumia kwa...
Yote hayo yanaweza kutokea pia yasitokee lakini huwezi kuacha kufanya kitu kwa sababu ya kusema atakuja tu kufanya hiki ni kama mnaingia kwenye ndoa na hamjui mnaoa akina nani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.