Ndugu kama kuna mtu ana garage au yard anipe mchongo.
Nishafanya kazi za garage na nin auzoefu nazo kwa ndani ya nchi na hata kwa nje ya nchi yaani nishakuaga katika kampuni za transit good s.
Naweza Fanya KAZI zote za garage.
Napatikana Dar.
Kiufupi kazi zinazohusiana na gari gari Mimi niko...
Ndugu kama kuna mtu ana garage au yard anipe mchongo..nshafanya kaz za garage na ninauzoefu nazo kwa ndani ya nchi na hata kwa nje ya nchi yaan nishakuaga kwenye gar za transit kwahyo uzoefu nnao WA kutosha..napatkana daressalaam
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.