mambo wana jf jinsia yangu ni mwanaume,naish dar,nimwajiriwa,dini mkristo,elimu yangu ni chuo kikuu.situmii kilev chochote wala sigara,sijawah kuoa,sina mtoto.natafuta rafiki wakike ili baadae awe mke wangu.awe mnene kias,mweupe,asiwe mrefu sana,awe naelimu kuanzia darasa vii-chuo,awe...