Recent content by __init__

  1. I

    Naomba mwenye sample ya mkataba wa kununua kiwanja yenye content hizi

    I Just found that kwenye pita pita zangu, take a look inaweza kumpa mtu mwanga
  2. I

    Nimwache akapange au niondoke mimi?

    NI Mwanadamu kama wewe ndugu
  3. I

    Nimwache akapange au niondoke mimi?

    Mtoto ana miaka miwili na miezi sita
  4. I

    Nimwache akapange au niondoke mimi?

    Asante kwa ushauri
  5. I

    Nimwache akapange au niondoke mimi?

    Ninampango wa kuondoka nimwachie kila kitu maana uwezo wa kununua vingine upo so vitu kwangu siyo shida, labda nguo zangu tu na vifaa vyangu vya kazi
  6. I

    Nimwache akapange au niondoke mimi?

    Mkuu nilishawahi mpiga kipindi ambacho sikujua ana mimba changa ikapelekea mimba kutaka kutoka sijamgusa tena mpaka leo
  7. I

    Nimwache akapange au niondoke mimi?

    Kuondoka anasema mpaka mwakani, mimi nimechoka sana na nikimwona najawa na hasira sana kiasi kwamba huwa naondoka tu home na kwenda matembezi yangu sometimes naenda kulewa. I am so stressed kiasi kwamba sitaki ugomvi kabisa
  8. I

    Nimwache akapange au niondoke mimi?

    Kagoma kwenda kwao anasema hawezi kurudi kwao wala kuishi kwa ndugu yake yoyote ataishi maish yake tu
  9. I

    Nimwache akapange au niondoke mimi?

    Suala la mahali halipo tena mkuu,
  10. I

    Nimwache akapange au niondoke mimi?

    Hicho kitendo cha kwenda kupanga najua hatoweza maana hana pesa, nilimfungulia kibiashara cha salon ambacho huwa hata sijui anachoingiza, anabaki kulaumu simjali yaani dah!
  11. I

    Nimwache akapange au niondoke mimi?

    Thanks ni imani tu mkuu, na sikutaka kuzunguka kwenye mahusiano tofauti tofauti
Back
Top Bottom