Kuondoka anasema mpaka mwakani, mimi nimechoka sana na nikimwona najawa na hasira sana kiasi kwamba huwa naondoka tu home na kwenda matembezi yangu sometimes naenda kulewa. I am so stressed kiasi kwamba sitaki ugomvi kabisa
Hicho kitendo cha kwenda kupanga najua hatoweza maana hana pesa, nilimfungulia kibiashara cha salon ambacho huwa hata sijui anachoingiza, anabaki kulaumu simjali yaani dah!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.