Wakuu, kuna mwenye update kuhusu progress ya Starlink kupata leseni ya kuoperate Tanzania?
Nimeapply fiber TTCL ipo meter 50 kutoka nilipo mwezi sasa unakata kila siku napigwa kalenda na kupewa sababu random yan.
Starlink ije, washtuke kidogo, sio fair inakuwa kama vile hatuwalipi
Wanakera
Pamoja hii inatengeneza cross-platform apps kwa android, ios, web, windows, linux, macos na google fuchsia ni rahisi kujifunza kama tayari unajua java au javascript ni rahisi kuiadapt ndani ya wiki chache tu inaandikwa kwa dart ambayo inacompile to platform specific apps.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.