Gaidi mkubwa na dhaifu ni Netanyahu ambaye baada ya vita vya siku 12 na Iran amelazimika kuomba poo, hakutarajia kilichomtokea walilazimika kuishi pangoni muda wote kuokoa maisha yao
Ok, nakubaliana na wewe Yesu ni nabii na alipitia kwenye masinagogi (misikiti ya wayahudi) maandiko yanasema hivyo sina mashaka lakini napata tabu kwenye neno Kristu na wa Wa kristu Yesu hakusema mahali popote watu waitwe Kristu ama Wakristu
Lete hoja usiutukane uislam sio jambo zuri, shida kubwa inakuja unapokuwa na imani tofauti ndani ya jeshi la kiislam usaliti unaweza kuwa karibu mnoo, halafu ni kwamba alivunja sheria kwa mujibu wa katiba yao, ilibidi aache kaz kwa hiari yake yasimkute hayo licha ya kufanya hadaa miaka yote hiyo...
Hawana madhara lakini Trump alimwambia zelenky anataka kuanzisha vita ya 3 ya dunia ambayo yeye hana card alikuwa anamaanisha mwenye card ni nani? America tu? Nafkiri Trump alikuwa na uwoga kwa China na Russia ndio ambao wanakutana na mnyama aliyemuhenyeha Netanyahu kwa siku 12
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.