Recent content by 4 7mbatizaji

  1. 4

    Nimejiridhisha waliotumbuliwa kwa vyeti feki ndo wamejazana taasisi binafsi hasa secta ya Afya

    Wakuu jf Mungu amewabariki popote mlipo na ilisha kua labda tu kwa mafisadi tu Mwaka 2017 aliekua Rais wa JMT alitumbua watumishi wa umma waliokua na vyeti feki katika kada mbalimbali, may be lengo lake ilikua vijana wasio na doa kwenye Elim ,kupata ajira Ila kwa uchunguzi wangu hawa...
  2. 4

    Uchaguzi mkuu kiti cha Rais 2025 (video): Unabii waweka wazi kuwa ni Samia S. Hassan (CCM) vs Bishop Josephat Gwajima (CHADEMA)...

    Nimecheka kijinga sana system ipo kazini ,chadema haitafanya makosa
  3. 4

    Paul Makonda aitwa kwenye Kamati ya Maadili ya CCM

    Huyu shida yake anajisahau sana
  4. 4

    CCM Hata wakitoa Fomu 1000 hakuna wa kumshinda Rais Samia 2025

    Tueshimianane kama ambavyo nakueshim
  5. 4

    CCM Hata wakitoa Fomu 1000 hakuna wa kumshinda Rais Samia 2025

    Hivi umeandika nini kama sio ujinga
  6. 4

    Januari Makamba atapita njia ya Hayati Lowassa katika safari yake ya kisiasa

    Sawa apitie CHAUMA ,au ACT n.k chadema wamejifunza nakujua wapi walikose , 2025 uchaguzi ukifanyika mtajua hamjui nyie ccm asema Bwana
  7. 4

    Kumekucha: CHADEMA yatoa ratiba ya wiki ya Maandamano, Tundu Lissu kuongoza Mikoa Mitano

    Mikoa atayokua mh lissu na mimi kwa gharama yangu nitaudhulia
  8. 4

    Mwenyekiti UVCCM Kagera, Faris Buruhan: Tukiwapoteza wanaomtukana Rais Samia mitandaoni, Polisi msiwatafute

    Huyu nitamfungia siku 5 apotee yeye kabla ya kupotea wengine
  9. 4

    Magari 56 ya Wakuu wa Wilaya kununuliwa mwaka wa fedha 2024/25

    Sory nilitaka manisha Rais wa Zambia kama Rais alikuta magari kibao ikulu, ila hakununua gari lake sisi daily magari ,magari ,hii wenda ni kufuru that's nchi inapata mikosi
  10. 4

    Magari 56 ya Wakuu wa Wilaya kununuliwa mwaka wa fedha 2024/25

    Haina shida tukutane 2025 ,uchaguzi ukifanyika, nchi sijui imerogwa na nani kwamba ofisi za wakuu wa mikoa na wilaya sana hakuna magari , tunashindwa jifunza kwa Rais wa Zanzibar
  11. 4

    Kinana: CCM iwatambue Ndumilakuwili Wote ambao Mchana wako CCM na Usiku wako Chadema, pia kemeeni Ukabila na Udini!

    Hao ni wapi ambao mchna wako ccm usiku wako Chadema? mzee wenda anawajua wawili au watatu angeanza kuwataja
  12. 4

    Mbunge wa Viti Maalum, Neema Mwandabila: Naona Kikokotoo kinawaweka Wastaafu katika hali nzuri

    Na hapa kuta ametoka bugeni anasema nimetoa point
  13. 4

    Paul Makonda asema tukutane 2025

    Ameongea vizuri sana ,si alimzoea mwendazake nami nasema tukutane kama uchaguzi ukifanyika ,wenda akawa mkimbizi wa kwanza kimbia inchi mda ni mwalim mzuri
  14. 4

    Dark days 17/03/20...

    Ila kama hutojali mkuu naomba fafanua hapo ,THE CLUB OF ROME, ipo vipi hii, na watu hujiungaje huko ? Thanks
Back
Top Bottom