Wakuu jf Mungu amewabariki popote mlipo na ilisha kua labda tu kwa mafisadi tu
Mwaka 2017 aliekua Rais wa JMT alitumbua watumishi wa umma waliokua na vyeti feki katika kada mbalimbali, may be lengo lake ilikua vijana wasio na doa kwenye Elim ,kupata ajira
Ila kwa uchunguzi wangu hawa...
Sory nilitaka manisha Rais wa Zambia kama Rais alikuta magari kibao ikulu, ila hakununua gari lake sisi daily magari ,magari ,hii wenda ni kufuru that's nchi inapata mikosi
Haina shida tukutane 2025 ,uchaguzi ukifanyika, nchi sijui imerogwa na nani kwamba ofisi za wakuu wa mikoa na wilaya sana hakuna magari , tunashindwa jifunza kwa Rais wa Zanzibar
Ameongea vizuri sana ,si alimzoea mwendazake nami nasema tukutane kama uchaguzi ukifanyika ,wenda akawa mkimbizi wa kwanza kimbia inchi mda ni mwalim mzuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.