Recent content by 4 7mbatizaji

  1. 4

    JamiiForums Tanzania Hii kesi hii sijui kama anaweza chomoka!?

    Ccm kuna vilaza sana , kwamba hajui kwamba mahakamani kuna lugha za kutumia sio pa kuropoka , kuna lugha na mnyumbuliko unaotakiwa kutumika ukiwa mahakamani
  2. 4

    JamiiForums Tanzania Maisha ya kweli ni kuwa na " peace of Mind"

    Netanyahu lini umesikia amemiminia wananchi wake risasi? Akiachana na kuwalinda wananchi kwa gharama yoyote juu ya maharamia ambao ndoto zao at ni kuifuta Israel, sasa wewe unafumua vichwa vya wananchi kwa risasi , kisa kujiapisha kuwa rais
  3. 4

    JamiiForums Tanzania Rais Samia akutana na Viongozi wa TEC - Ikulu, Chamwino

    Si kuna kipindi alikua anawabagaza ,sasa imekuaje tena
  4. 4

    JamiiForums Tanzania Kada wa CCM, Bakari Kazungu, ambaye amekuwa akikemea uchawa, atekwa na kufanyiwa vitendo vya kikatili

    Wapenda chama na wazalendo ndani ya ccm nao watengeneze kikundi ndani ya chama chao ili kulinda na kujibu mashambulizi vinginevyo watamalizwa sana . Wawe na mtandao wao wa kujihami dhidi ya mndao haramu ndani ya chama chao. Pili lazima wanaccm kushikamana kukataa uhuni huu hii haikubaliki...
  5. 4

    JamiiForums Tanzania Super Sub ya Agrey Mwanri iliyofanywa na CCM itarudisha matumaini ya Wafuasi na wanachama wa CCM?

    CW wala hawatuonei , kama taifa ni ujinga wa wawachache unalifikisha Taifa katika hali hii mfano Why bora uchaguzi Why mweka ndani lissu Why teka, ua na poteza watu Why mauaji 29 Oct Why makesi ya ugaaidi kila kona Tuliona kwa nchi ambayo imetuzidi yote , no 1 Dunian USA Trump alikua...
  6. 4

    JamiiForums Tanzania Super Sub ya Agrey Mwanri iliyofanywa na CCM itarudisha matumaini ya Wafuasi na wanachama wa CCM?

    Sanaa za uyu mzee wa Toronto za kitoto, akiwa tabora kama mkuu wa mkoa alienda hospital flani hivi ,kuna jambo pale hosp lilikua lilizushwa ,katika kikao cha ndani akawambia jamani sasa naenda kwa wandishi wa Habari nitakemea sana ,nalinda ugali watu vicheko na kweli nje alitema nyongo kama ni...
  7. 4

    JamiiForums Tanzania Remedy DPP anayoweza kuifanya ni kuiondoa Kesi dhidi ya Lissu Kisha kumkamata tena na ku fix ushahidi wake ambao umetupwa na mahakama zote mbili

    Hi move mmoja alieokoka kwenye kifo cha mishale , kila aliemfuta fata alifyekelewa mbali kwa njia tofauti
  8. 4

    JamiiForums Tanzania Simiyu: CHADEMA yaingia Mitaani kuhamasisha Tonetone, wananchi wajazana, shughuli zavurugika

    Hacha kama nikula pesa hale kwani shida nini
  9. 4

    JamiiForums Tanzania CCM mjitafakari. Hamna vijana mliowapika ili kuweka chama chenu kwenye ushindani wa kisasa na CHADEMA?

    Umeongea ukweli mkuu , sasa may be ndo maana imebaki debe tupu, chama kimekua cha kijinga sana ,vijana mlioko huko jitafakari sana
  10. 4

    JamiiForums Tanzania CCM mjitafakari. Hamna vijana mliowapika ili kuweka chama chenu kwenye ushindani wa kisasa na CHADEMA?

    Umejibu ujinga , mizee akili ndogo inakalia viti ,nyie vijana mpo tu imba ccm mbele kwa mbele wapumbavu kweli , siasa za sasa zataka mchakamchaka , sasa Mzee wa Toronto atafanya nini kwenye kizazi ichi cha Gz , Ccm hakili hamna kazi tu fanya ujinga ,ujinga tu
  11. 4

    JamiiForums Tanzania CCM mjitafakari. Hamna vijana mliowapika ili kuweka chama chenu kwenye ushindani wa kisasa na CHADEMA?

    Wenda ila kalelewa chadema , uzuri namjua vizuri tu mpaka Baba yake aliekua co ,moja ya kutuo ka dini pale shinyana mjini ,so namfahamu vizuri
  12. 4

    JamiiForums Tanzania CCM mjitafakari. Hamna vijana mliowapika ili kuweka chama chenu kwenye ushindani wa kisasa na CHADEMA?

    Hamna pale chama, nawashauri wema, WASIRA na wazee wa haina hii. Hakuna hoja ya kuafanya Chadema kuilaza mdomo wazi . Baraza la Mawaziri hata kama ni mchongo kwa mjibu wa wenyeinchi ,watu kama Mtaka R.c njombe n.k walitakiwa kuwa ndani. Watu smart ndo wanahitajika
Back
Top Bottom