Ccm kuna vilaza sana , kwamba hajui kwamba mahakamani kuna lugha za kutumia sio pa kuropoka , kuna lugha na mnyumbuliko unaotakiwa kutumika ukiwa mahakamani
Netanyahu lini umesikia amemiminia wananchi wake risasi? Akiachana na kuwalinda wananchi kwa gharama yoyote juu ya maharamia ambao ndoto zao at ni kuifuta Israel, sasa wewe unafumua vichwa vya wananchi kwa risasi , kisa kujiapisha kuwa rais
Wapenda chama na wazalendo ndani ya ccm nao watengeneze kikundi ndani ya chama chao ili kulinda na kujibu mashambulizi vinginevyo watamalizwa sana .
Wawe na mtandao wao wa kujihami dhidi ya mndao haramu ndani ya chama chao.
Pili lazima wanaccm kushikamana kukataa uhuni huu hii haikubaliki...
CW wala hawatuonei , kama taifa ni ujinga wa wawachache unalifikisha Taifa katika hali hii mfano
Why bora uchaguzi
Why mweka ndani lissu
Why teka, ua na poteza watu
Why mauaji 29 Oct
Why makesi ya ugaaidi kila kona
Tuliona kwa nchi ambayo imetuzidi yote , no 1 Dunian USA Trump alikua...
Sanaa za uyu mzee wa Toronto za kitoto, akiwa tabora kama mkuu wa mkoa alienda hospital flani hivi ,kuna jambo pale hosp lilikua lilizushwa ,katika kikao cha ndani akawambia jamani sasa naenda kwa wandishi wa Habari nitakemea sana ,nalinda ugali watu vicheko na kweli nje alitema nyongo kama ni...
Umejibu ujinga , mizee akili ndogo inakalia viti ,nyie vijana mpo tu imba ccm mbele kwa mbele wapumbavu kweli , siasa za sasa zataka mchakamchaka , sasa Mzee wa Toronto atafanya nini kwenye kizazi ichi cha Gz ,
Ccm hakili hamna kazi tu fanya ujinga ,ujinga tu
Hamna pale chama, nawashauri wema,
WASIRA na wazee wa haina hii. Hakuna hoja ya kuafanya Chadema kuilaza mdomo wazi .
Baraza la Mawaziri hata kama ni mchongo kwa mjibu wa wenyeinchi ,watu kama Mtaka R.c njombe n.k walitakiwa kuwa ndani.
Watu smart ndo wanahitajika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.