Recent content by 4 7mbatizaji

  1. 4

    JamiiForums Tanzania Lissu amekosea kwenye Final touch. Kumchagua Lema haukuwa uamuzi sahihi

    Kumbukizi moja ya maana sana , wajumbe waliamua kukiheshimisha chama chao, thanks wajumbe
  2. 4

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini ya Lissu: Heche aendelea kutoa ushahidi Mahakamani siku ya pili

    Heche kakiwasha balaa ,mpende msipepe Lissu atakua rais wa nchi hii , mara sijui mtandao ,hakuna cha mtandao hapa, hii kesi ya lissu itatumika kama reference kwa wanasheria wengi kwa miaka ijayo
  3. 4

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini dhidi ya Lissu: Brenda amaliza kutoa ushahidi Mahakamani Septemba 9, 2026

    Chedema hakuagi na mtu mpavu ,bali yamejazana ccm ,
  4. 4

    JamiiForums Tanzania Kazi za Makamu wa Rais ikiwa Rais hayupo ofisini kwa dharura

    Kwani kuna ninni ? Kifo ni kifo tu, pole kwa wafiwa ( namanisha ndugu na jamaa)
  5. 4

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini dhidi ya Lissu: Brenda aendelea kutoa ushahidi

    Mwanangu wa mmoja alikua anasoma uharubani huko S.A amekuja likizo na kwenda muona baba yake akiwa na mdogo wake huko Misumi , pia mdogo wake alikua ansomea mambo mzuri tu , wakauwawa MO 29 . KUMBUKA nilijima hata kula ugali bila mboga wanangu watimize ndoto zao , then wanauliwa kisa uchaguzi...
  6. 4

    JamiiForums Tanzania Tutalalamika mpaka lini?

    Uzuo Uzi mzuri sana ,upo na maswali fikirishi mkuu
  7. 4

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini dhidi ya Lissu: Brenda aendelea kutoa ushahidi

    Kuna watu kisa wapo kwenye nafasi flani wanadhani maisha yanaweza endelea kama kawaida wakati wengine nyoyo zetu zinavuja damu maana ya 29 Oct 2025 yalitufika moja kwa moja na bila hatia , hawa mawakili wa serikali ,waheshiwa majaji n.k waliguswa moja kwa moja? Kama waliguswa na kusimamia...
  8. 4

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini dhidi ya Lissu: Brenda aendelea kutoa ushahidi

    Mkuu nashukuru ila maumivu yangu hayajapona bali ni mkono wa Mungu umenibeba tu ,
  9. 4

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini dhidi ya Lissu: Brenda aendelea kutoa ushahidi

    Kukinukisha neo la mtaani tu na lenye maana nyingi , mfano Lupia anasema kukinukisha ni kama kupika pilau , so leo ukiwambia familia yako kwamba tunakinukisha , chukua viongo vyote vya pilau nyama za kutosha ,tukinukishe nyumbani kwetu , unakua umefanya uhaini kwenye familia ?
  10. 4

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini dhidi ya Lissu: Brenda aendelea kutoa ushahidi

    NRNE ilikua kauli ya maana sana , nini sasa kilitokea 29 Oct ,je yangezingatiwa leo tungekua katika majozi kama taifa mpaka sasa ? Achana na sie mtu mmoja mmoja ambae nimepoteza wanangu wawili na hawakua kwenye maandamano , mke wangu hawezi kupata mtoto tena ,ni kamoja tu kamebaki na kapo...
  11. 4

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini dhidi ya Lissu: Brenda aendelea kutoa ushahidi

    Mawakili wa serikali kwa sasa walicho baki nacho ni mipasho kama ya khadija Kopa ***** na Zuchu, Mrembo wa chadema anawatoa kamasi , chadema hakunaga mtu Fala , Hata Mbowe amejiunga nao maccm kupiga pesa zao tu ,ila kichwani anajua anacho kifanya. Kwamba Mkwe akampa chama then akiuwe kiraisi...
  12. 4

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini dhidi ya Lissu: Brenda aendelea kutoa ushahidi

    Uchaguzi upo kwa mjibu wa sheria ambao ni huru na haki, tofauti na hapo hata walio shiriki uchaguzi ambao sio huru na haki wamevunja sheria Lupia yupo sawa for 100%
  13. 4

    JamiiForums Tanzania Hivi kwani kutongoza/kutongozwa ni kosa kisheria kwa mtu juu ya miaka 18?

    Hii haibu kwamba kuu hana nguvu za kiume , yani pisi kali imekutonza yenyewe why ifanyia hivyo mkuu?
  14. 4

    JamiiForums Tanzania Watanzania chuki zimezidi sasa mnashindwa hata kusema pole kwa rais wenu. Tumwombe Mungu atutoe hapa

    Watz wamevulugwa sana , hii haijawahi tokea, aisee ,wanatembea na hasira sana nyoyoni mwao
  15. 4

    JamiiForums Tanzania Hadi huruma. Samia Suluhu kawa mdogo. Kifo kisikie kwa jirani

    Itoshe uyu mzee wenda alikua na damu ya tofauti, pamoja na mamlaka flani kama baba ,hakuwahi kuwa kambare, Hekima ya Mungu ikawe juu yake huko maana wote wa huko , ni viburi tu vyawasumbua wanadamu , lala pema mzee na sio kuwa ulikua nani nyuma yako naongea kibinadamu tu .
Back
Top Bottom