Heche kakiwasha balaa ,mpende msipepe Lissu atakua rais wa nchi hii , mara sijui mtandao ,hakuna cha mtandao hapa, hii kesi ya lissu itatumika kama reference kwa wanasheria wengi kwa miaka ijayo
Mwanangu wa mmoja alikua anasoma uharubani huko S.A amekuja likizo na kwenda muona baba yake akiwa na mdogo wake huko Misumi , pia mdogo wake alikua ansomea mambo mzuri tu , wakauwawa MO 29 .
KUMBUKA
nilijima hata kula ugali bila mboga wanangu watimize ndoto zao , then wanauliwa kisa uchaguzi...
Kuna watu kisa wapo kwenye nafasi flani wanadhani maisha yanaweza endelea kama kawaida wakati wengine nyoyo zetu zinavuja damu maana ya 29 Oct 2025 yalitufika moja kwa moja na bila hatia , hawa mawakili wa serikali ,waheshiwa majaji n.k waliguswa moja kwa moja? Kama waliguswa na kusimamia...
Kukinukisha neo la mtaani tu na lenye maana nyingi , mfano Lupia anasema kukinukisha ni kama kupika pilau , so leo ukiwambia familia yako kwamba tunakinukisha , chukua viongo vyote vya pilau nyama za kutosha ,tukinukishe nyumbani kwetu , unakua umefanya uhaini kwenye familia ?
NRNE ilikua kauli ya maana sana , nini sasa kilitokea 29 Oct ,je yangezingatiwa leo tungekua katika majozi kama taifa mpaka sasa ? Achana na sie mtu mmoja mmoja ambae nimepoteza wanangu wawili na hawakua kwenye maandamano , mke wangu hawezi kupata mtoto tena ,ni kamoja tu kamebaki na kapo...
Mawakili wa serikali kwa sasa walicho baki nacho ni mipasho kama ya khadija Kopa ***** na Zuchu, Mrembo wa chadema anawatoa kamasi , chadema hakunaga mtu Fala , Hata Mbowe amejiunga nao maccm kupiga pesa zao tu ,ila kichwani anajua anacho kifanya.
Kwamba Mkwe akampa chama then akiuwe kiraisi...
Uchaguzi upo kwa mjibu wa sheria ambao ni huru na haki, tofauti na hapo hata walio shiriki uchaguzi ambao sio huru na haki wamevunja sheria Lupia yupo sawa for 100%
Itoshe uyu mzee wenda alikua na damu ya tofauti, pamoja na mamlaka flani kama baba ,hakuwahi kuwa kambare, Hekima ya Mungu ikawe juu yake huko maana wote wa huko , ni viburi tu vyawasumbua wanadamu , lala pema mzee na sio kuwa ulikua nani nyuma yako naongea kibinadamu tu .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.