Recent content by 2025CCM

  1. 2

    Kwa macho ya kawaida utaona ni haki inagombaniwa, ila kwa taarifa za uhakika kinachopikwa ni Tanzania kuwa Congo ya pili

    Oct 29-30 chama kimepitia changamoto. Mpaka sasa kipo kwenye changamoto ya yanayojiri baada ya tukio lile. Poleni sana Watanzania waliopeteza ndugu, jamaa na marafiki kwenye kumbukumbu ile isiyopendeza.
  2. 2

    Ukiachilia Mbali Kutisha tisha, JWTZ haliwezi kamwe kugeuza Bunduki zake dhidi ya Raia ! Tujitokeze wengi sana katika Maandamano!!

    Jeshi la wananchi kazi yake ni kuilinda nchi na hatari kutoka nje, ukiwaona wametapakaa kabla hujakabiliana nao jiulize kuna hatari gani isiyo ya kihalifu wa kiraia ya kuruhusu uwepo wao. Tanzania sio kisiwa.
  3. 2

    CCM Kufanya uchaguzi bila CHADEMA ni kujitekenya na kujichekesha

    Kila la heri. Chama kitaendelea kunadi sera ili kiendelee kukuongoza kwa awamu nyingine.
  4. 2

    CCM waliponunua mabasi sikuwaelewa, Sasa nawaelewa

    Wanazisikiliza pia sera za chama ili waendelee kukiamini chama 2025-2030.
  5. 2

    CCM Kufanya uchaguzi bila CHADEMA ni kujitekenya na kujichekesha

    Viongozi, wanachama na raia wapenzi na wapiga kura kwa ccm wengi walishakuwepo na sasa hawapo ila wameiacha ccm madarakani ikiendelea kuaminiwa kuongoza.
  6. 2

    CCM Kufanya uchaguzi bila CHADEMA ni kujitekenya na kujichekesha

    Dhumuni la ccm ni kuendelea kushika madaraka 2025-2030.
  7. 2

    GE2025 Kampeni za Mgombea Urais wa CCM zapotea Mitandaoni, inadaiwa Chanzo ni Bomu la Polepole

    Ccm inaendelea kuchanja mbuga kijiji kwa kijiji.
  8. 2

    GE2025 Bado kuna Fukuto la kwanini Samia hajapitishwa kwenye Chujio !!!

    Kuamini kuwa CCM ina mpasuko ni kete muhimu sana kwa upinzani kutoka CCM. Imefanya kazi tangu enzi za Mrema na itafanya kazi hata leo sababu wafuasi wa upinzani na viongozi wa upinzani wakati wote wana malengo, mategemeo, matendo tofauti na maneno yanayofanana ili kuwafikirisha wao ni kitu kimoja.
  9. 2

    Tupo na mama mpaka 2035, Kwa mara ya kwanza anaenda kugombea urais 2025, mara ya pili 2030, awamu ya sasa haihesabiki

    Tumia muda kuifahamu katiba ya nchi yako. Madaraja yanavukwa yakifikiwa, sio kabla. Unapata tabu na daraja la 2030 ilihali ndo tumelifikia la 2025.
  10. 2

    PreGE2025 Wajumbe Mkutano Mkuu CCM wapitisha Rais Samia, Dkt. Mwinyi kugombea Urais 2025

    Tukutane tena 2030 panapo majaliwa. Hili limeshakwisha.
  11. 2

    Inadaiwa kuna kundi fulani CCM linatamani Lissu ashinde ili wapate sababu ya kumpumzisha mtu wao

    CHADEMA si tishio kwenye nafasi ya uraisi. Kumpitisha au kutompitisha Daktari Samia kuipeperusha bendera ya chama cha mapinduzi haina uhusiano na wanachofanya CHADEMA.
  12. 2

    CHADEMA wote wanajua kwamba CCM is the best political party in Africa

    Chadema ni marafiki wa ccm, ni zao la ccm na wanaipenda ccm, mengine yote ni siasa kwa maslahi ya nchi au maslahi ya wanasiasa nje ya ccm.
  13. 2

    PreGE2025 Hivi CCM huwapa nini Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama na kupelekea wao kukaa kimya hata pasipobidi?

    Soma Katiba ya nchi yako kuelewa majukumu ya Jeshi la nchi yako. Unaonekana ni mtu unayependa nadharia au mambo ya kufikirika. Kupiga kura against CCM ni haki yako kama ilivyo haki ya watakao ipigia kura 2025.
Back
Top Bottom