Kwa hili la kuturudisha kwenye DIVISION kutoka kwenye GPA,wadau tuna muunga mkono Mh. Waziri wa elimu, kwani mfumo huu Watanzania wote tuliuzoea,ila walikuja watu wachache wavivu walio na madaraka wakataka kuwayumbisha Watanzania.Nakumbuka hata Mh. Spika wa bunge la Tanzania wakati huo aliupinga...
Watanzania tuamini sasa kuwa uchaguzi umepita tufanye kazi kwa bidii zetu zote kuziba pengo la kiuchumi lililosababishwa na harakati za uchaguzi uliopita.Tushikane pamoja tufanye kazi tujenge uchumi wa nchi yetu.
Asanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.