Mtoa hoja nahisi ni mhamiaji haramu si raia wa Tanzania! Jeshi la polisi lifanye kumlika uhalali wake! Ikiwa raia wa kibiti na mkuranga wameasi ni lazima ijulikane na washughulikiwe kwa mjibu wa sheria za uhaini! Tujuavyo sisi watanzania kila raia ni mlinzi wa nchi yetu! Hatuna watu kama mtata...
Huyu Daudi ndo aloingiza hela kwenye akaunti ya Flora kabla ya kuachana na mume wake! Hilo iliingizwa tokea mwanza na Flora kuhama hotel ya Kings Ways Morogoro! Akasingiziwa Askofu Kwajim! Mambo hayo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.