Hapa inatakiwa tufanye nini maana niliichukua fen yake ikiwa imelokiwa maana ilikua imekufa sasa ukiwasha gari inapiga sana kelele kama unaiandaa ndege kuruka ikabidi ninunue klachi feni mpya ili irudishwe kwenye mfumo wake
Habarini wana jamvi naomba msaada kwa wataaramu wa magari nina gari yangu brevis 1JZ ina tatizo la kuchemsha yaani unaweza tembea hata kilometa 20 za mwenda wa kawaida tu mshale wa hit ukapanda sana kupelekea taa ya chek injini kuwaka ila ukiwa kwenye mwenzo mkali mzunguko wa weni ukiongezeka...
Habarini wana jamvi. Naomba msaada kwa wataalamu wa magari. Nina gari yangu Brevis 1JZ ina tatizo la kuchemsha. Yaani, unaweza tembea hata kilometa 20 za mwenda wa kawaida tu, mshale wa hit unapanda sana, kupelekea taa ya "Check Engine" kuwaka. Lakini ukiwa kwenye mwendo mkali, mzunguko wa weni...
Ndio maana na mimi nimeacha kuongea tena maana comment zinazo andikwa hapa ni uchambuzi mimi nimeweka mezani mali ninayo uza nashangaa wataaramu wamesha anza uchambuzi mara paa kubwa mara kolido mara geita ni polini mara nini daaaah ila bongo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.