Habari yenu wadau napangisha nyumba nzuri ya vyumba vitatu na jiko na choo ..Nyumba bado mpya inapangishwa kwa sh 170000/ kwa mwezi pia nyumba iko mbagala -charambe- majimatitu : 0714218952,0687116582
Habari yenu wadau Mimi nikijana niliyehitimu cheti cha uhasibu sikufanikiwa kuendelea kwasababu ya ada hivyo ndugu zangu natafuta kazi ya kufanya hata ya kuuza DUKA;stationery au yoyote halali 0714218952/067116587
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.