Recent content by 0653351683

  1. 0

    Msaada: Napotuma maombi ya chuo namba ya uthibitisho (Verification number) inakataa

    Sijawahi kureseat o level,so nilitumia chet cha advance kwenda diploma ambacho nilipata div3-14
  2. 0

    Msaada: Napotuma maombi ya chuo namba ya uthibitisho (Verification number) inakataa

    Bado ndo hiyo naihangaikia killa nikiingiza username. Na password Wanadai kuwa cheti changu cha form four Hakina sifa,kwan wao wanataka pass. Nne,lkn mi nna c 3 ambazo ziliniwwzesha kufanya paper ya advance Kama private candidate,
  3. 0

    Msaada: Napotuma maombi ya chuo namba ya uthibitisho (Verification number) inakataa

    Habari zenu , wapendwa mm naitwa elia,nmemaliza diploma ya ualimu secondary mwaka huu,sasa changamoto yangu ni wakati huu wa ku apply chuo kikuu ambapo kila nikitaka verification number inakataaa na napokea ujumbe kwamba sikuwa na vigezo vya kusoma Diploma. Kwa o level nilikuwa nna c tatu na...
Back
Top Bottom