Bado ndo hiyo naihangaikia killa nikiingiza username. Na password Wanadai kuwa cheti changu cha form four Hakina sifa,kwan wao wanataka pass. Nne,lkn mi nna c 3 ambazo ziliniwwzesha kufanya paper ya advance Kama private candidate,
Habari zenu ,
wapendwa mm naitwa elia,nmemaliza diploma ya ualimu secondary mwaka huu,sasa changamoto yangu ni wakati huu wa ku apply chuo kikuu ambapo kila nikitaka verification number inakataaa na napokea ujumbe kwamba sikuwa na vigezo vya kusoma Diploma.
Kwa o level nilikuwa nna c tatu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.