Suti hii imevaliwa siku moja tu na ipo katika hali nzuri kabisa, kama mpya!
Inajumuisha:
Makoti Mawili: Rangi nyeupe na nyeusi.
Suruali: Kiuno size 31/32.
Kizibao
Tai nyeusi
Bei: Laki Sita TZS...
Mitandio ya Chiffon inapatikana.
Ukubwa: Medium
Bei: sh 7,000/=
Tunapatikana Tabata Kinyerezi/Makumbusho (Biashara ni ya Mtandaoni), tunafanya delivery. Mkoani tunatuma kwa gharama za mteja...
Hatimaye, mabasi ya kisasa ya Shabiby Line yameanza safari zake za kutoka Dar kwenda Tanga na kutoka Tanga kwenda Dar kila siku iitwayo leo.
Safari hizo zimeanza Wiki iliyopita na tayari abiria...
Karibu uagize spare za mini cooper kuanzia engine, vifaa vya umeme, vilainishi na mengineyo kwa jumla na rejareja
Wa ndege,Vifaa hufika ndani ya siku 5 hadi 7 na kwa meli/maji ni siku 40...
Nyumba inauzwa Goba, Dar es Salaam.
Mahali: Lilian Kibo kwa Mwakifulefule.
Sifa za Nyumba:
*Nyumba haijakamilika, imefikia kwenye hatua ya umaliziaji.
*Iko mita chache kutoka barabara ya Goba...
💡 PID ni nini?
PID ni kifupi cha Pelvic Inflammatory Disease — yaani Ugonjwa wa Maambukizi katika Pelvic (kiuno/mfuko wa uzazi wa ndani wa mwanamke).
Hii ni hali ya kuvimba au kuambukizwa kwa...
Nyumba Inauzwa Goba.
Mahali: Goba Kwa Robert.
Sifa za Nyumba:
*Ni nyumba mpya anakaa mlinzi tuu.
*Ina vyumba vinne vikubwa, kila chumba kina choo chake. *Ina Spanish tiles.
*Madirisha ni pvc...
House For Sale.
Location: Msasani Near Dar Villa, Misitu St.
Features: 1 storey, 4 bedrooms, 4 bathrooms, public toilets, Kitchen, Laundry, Dining, Sitting, Store, water tank, and servant's...
Tunatengeneza LOGO za kisasa, zenye mvuto wa kipekee kwa ajili ya biashara yako, tovuti, apps au mitandao ya kijamii kwa bei nafuu ya TZS 15,000 tu!
✅ Design 3–5 tofauti za kuchagua
✅ Format...
Nyumba Inauzwa Bahari beach, Dar es Salaam.
Mahali: Mtaa wa Simba/Mugeta.
Sifa za Nyumba:
*Iko Mita 100 kutoka barabara kubwa ya ununio.
*Ina vyumba vitano vya kulala, vyote ni master.
*Huduma...
Salamu matajiri.
Namba zangu hizo hapo dalali ambaye Sina mkuu lakini Kazi zangu zimenyooka.
Ukitaka nyumba ya kununua au kiwanja basi nahakikisha kila kitu Kipo Sawa.
Hakuna mgogoro wa...
SUBARU FORESTER - SJ5 MODEL
Mwaka 2014
Engine 1990cc
Rangi Black Metallic
Mileage 70,000km
Bei 36m
📌Push to Start 📌Winker Mirrors 📌Leather Seats 📌Roof Rails 📌Eyesight Tech 📌Rear TV Screen...
Tangazo kwa Wamiliki wa Mali/Yadi!
Tunatafuta Open Yard ya kununua katikati ya jiji la Dar es Salaam. Yard iwe katika maeneo haya: Vingunguti, Kiwalani, Pugu road, nyuma ya airport.
Tunatafuta...
Viwanja Vinauzwa.
Vipo Kibaha maili moja karibu na nyumbani kwa Mkuu wa Mkoa.
Viwanja viko viwili ndani ya eneo moja, moja ina nyumba ya vyumba vitatu.
Ukubwa wa Eneo: Sqm 1294 na cha pili Sqm...
Habari jamani, natafuta chumba sebule choo na jiko la KUPANGISHA, maeneo ya Kongowe hadi Tuangoma Sheli, ofa yangu ni 150k kwa mwezi, miezi 3 nalipia 0629727508
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.