Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Natafuta kiwanja Sengerema mjini kiwe katika eneo zuri la kibiashara ofa yangu 10m
0 Reactions
1 Replies
777 Views
Habari wadau! kuna Chumba master 100,000/= kinapangishwa Ubungo Riverside Malipo miezi minne (4) #Nyumba INA fence #Maji 24/7 #Usalama wa uhakika. #wapangaji wawili #Luku yako Call/SMS :0620533957
0 Reactions
49 Replies
5K Views
Ninahitaji laptop yoyote nzima yenye uwezo wowote ilimradi inaingia net na inafanya kazi, sijali kuhusiana na chaji wala ubora bajeti yangu ni elfu hamsini (50000) Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Nauza Samaki aina ya Sangara kilo shilingi 4200 kwa bei ya jumla wanaohitaji karibuni PM .nipo Dsm ....Maelewano yapo Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
29 Replies
6K Views
Wadau msaada, Nataka niezeke nyumba yangu ya yenye mtindo contemporary, changamoto niliyo nayo ni aina gani ya bati nitumie. Je, Nitumie bati migongo midogo ama migongo mipana? Watu wengi sana...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nauza Nissan Xtrail kama ilivyo pichani being mil 9.2Gari ipo Kigamboni.Namba ni DAP.Mawasiliano 0757048829 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Heshimu kwenye wana JF. Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza, katika kuhustle kwenye maisha nimeamua nianzishe biashara ya mgahawa ili niweze kukidhi mahitaji yangu ya kila siku. Mgahawa wangu upo...
40 Reactions
78 Replies
8K Views
Nauza vifaa vya studio, nimefunga studio yangu Dar es salaam Keyboard 430,000 Tockstar Mic 400,000 Monitor M audio bx 8 : 650,000 Computer desk top, dell ram 12 proce. 3.3 core i5: 500,000 Laptop...
1 Reactions
7 Replies
4K Views
Wandugu habari za muda huu! Naomba kujua chimbo la kupata mashine ya aina hiyo kwa dar naipata maeneo gani? Pia ningependa kujua NA bei zake zikoje? Iwe brand new au used. Ahsante. Sent using...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wana jamvi, kama mada ilivyo hapo juu mimi ni kijana ambaye kwa sasa sina ajira baada ya kuathiriwa na janga la corona. Nilikua sekta ya utalii pori la akiba selous na kwa sasa nipo Dar na...
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Nauza moderm zifuatazo bei poa. MODERM ya Airtel no mpya nauza 30,000/+ moderm ya Vodacom yenye namba juu ni 20,000/- na nyenzake pia ya Vodacom ni 15,000/- Karibuni Sana nipo DSM 0625610791 &...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Nyumba yenye vyumba 3 kimoja Master Bedroom, Public toilet ndani, Sitting, Dinning, Kitchen, Library, Verondor inauzwa MWANZA eneo la Cocacola/Busenga. Pia nyumba ina umeme na Maji msimu wote wa...
0 Reactions
11 Replies
7K Views
Gari ni nzima haihitaji matengenezo yoyote. Ina nyaraka zote muhimu gari haina udalali unawasiliana na mwny nayo moja kwa moja. IPO Arusha piga 0746265566 Bei ni mil 20 Maongezi yapo. Sent...
0 Reactions
0 Replies
928 Views
*MAUMIVU YA SHINGO/NECK PAIN* Maumivu ya shingo hushamblia binadamu wa umri wowote na jinsia yeyote. Ingawa Mara nyingi watu wazima wenye umri kuanzia miaka 35. *VISABABISHI* 1.Mabadiliko ya...
1 Reactions
2 Replies
11K Views
Habari ndugu zangu. . Kwa kuwa Hapa JF ni uwanja mpana.wa Watu wengi Na wa kutoka sehemu mbali mbali natumaini Hitaji langu litapata ufumbuzi. Kama kuna Dalali au MTU yoyote kwa Hapa Dar...
2 Reactions
22 Replies
4K Views
Habari WanaJF! Naomba kusaidiwa Tovuti zitakazo niwezesha kufanya manunuzi ya bidhaa Mtandaoni (Phones & Laptops) hasa katika hizo Nchi za Falme Za Kiarabu na Thailand. Asante Sent using Jamii...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
ITEM : A4 Legal Paper COLOR: Blue SHEETS: 100 per Ream AVAILABILITY STATUS: {Zipo 8 reams kwa sasa} PRICE: Tshs 8,000/= per ream. LOCATION: Tabata Kinyerezi @Saluni {KITUO} CONTACT...
0 Reactions
2 Replies
738 Views
Hello, Hii Mashine inauzwa Ipo Morogoro. Kwa mawasilaino 0686666666. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
816 Views
Pure black castor oil ni Mafuta halisi ya Tanzania yatokanayo na mbegu za mnyonyo yenye vimelea vya omega 9 vinavyochochea ukuaji Wa nywele kwa haraka na uhakika, pia huondoa fungus kama MBA na...
0 Reactions
6 Replies
7K Views
Buda Water Pump Dispenser - Ni rahisi kutumia -Ina Rechargeable Battery Inatumia Usb Cable (smartphone charger) kucharge -Inatunza Charge ndani Mwezi Mmoja na zaidi -Kuwasha na kuzima unabonyeza...
0 Reactions
0 Replies
921 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…