Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wakuu, naomba kufahamishwa soko na bei ya madini aina ya ruby kwa Dar es Salaam na Morogoro
1 Reactions
7 Replies
8K Views
Wana jamii Tafadhali Nilikua nahitaji kama kuna mtu anaefahamu Bei ya Zile rangi kwaajili ya kuprint T shirt, na kama atakua anajua mahali zinapopatikana, pamoja t shirt plain zenye bei rahisi...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Habari I wana JF kama heading hapo ninapenda kujua gharama za kukodi ndege ndogo kwenda Zbar or any where mkoani. Kwa mnaofahamu gharama zikoje na makampuni gani ya natoa huduma hizo! Naomba kujuzwa.
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari wapendwa tunauza vyombo vya ndani au kwenye matumizi ya migahawa na hotels Bei zetu ni nafuu Sana sample nitakazotuma ndizo zilizobakia kwa atakaehitaji tafadhali WhatsApp me 0763772636...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wakuu, Nauza mayai ya kanga kwa jumla na reja reja, yanafaa kwa kuangua vifaranga vya kanga pia. Bei ni 19,000 kwa trei moja. Napatikana Dar es Salaam ila kama upo mkoani nakutumia pia.
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Habarin za muda ,poleni na majukumu. Naomba kufahamishwa bei ya bouyer ( water float switch) linauzwaje
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakubwa habari za mchana huu,poleni kwa majukumu ya kila siku. Mwenzenu nilikuwa na duka mkoa wa Kilimanjaro wilaya ya Mishi la kuuza simu pamoja na vifaa vya simu yaani chaji za simu, earphone...
2 Reactions
1 Replies
934 Views
Habari za Jioni wana Jf Nahitaji mayai ya kisasa trey 30 kwa tzs 6000 @ Trey Niko Mwenge opp na TRA aliye nayo anipm tuelewane nahitaji kesho by Saa 5 asbh Asante
0 Reactions
4 Replies
703 Views
yeah
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wadau naitaji ramani ya nyumba ya vyumba vitatu na sebule isiwe yakuwekeza kwa bati nataka izi za kisasa. Kiwanja changu ni 15*15 kipo Arusha ila mmi nipo DSM kiwanja kipo sehemu flati na...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari Naiuza hi power mixer ya Yamaha g4 in njia nne yaan maiki nne kwa wakati mmja ina power ya kutosha inachukua speaker kubwa kuanzia watt 300 ..kwa wazee wa kurekod ipo fit hata wazee wa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwa wote wanaohitaji ushauri juu ya ujenzi wa nyumba za: Makazi Biashara Sherehe na Ibada karibuni sana. Najenga kwa Bei rafiki kulingana na mazingira ya mtanzania. Pia natengeneza mfumo mpya wa...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Drone Online Ads, ni kampuni ya matangazo inayowasaidia wajasiriamali na wafanyakazi kupata viwanja. Kwa sasa, imeungana na Kampuni za ujenzi,ambapo inakupa nafasi ya wewe mmiliki wa kiwanja...
3 Reactions
56 Replies
15K Views
Habari. Laptop inauzwa kwa bei nzuri sana, imetumika ila ipo katika hali nzuri sana. BEI:500,000/=. Mahali:Dar es salaam. Utatumiwa kama upo mkoani. Aina: Core i 5 4gb Ram hdd 500GB Hp probook 450...
0 Reactions
10 Replies
45K Views
Boresha biashara yako Kwa machine bora zipo deep fryers zenye ubora Bei za fryers Single fryer 6L ya umeme laki moja na 50 tu Double fryers za umeme 6L laki mbili na nusu tu Za gesi Fryers...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Fremu ambayo haijakamilika (ipo kwenye lenta) kama inavyoonekana pichani inauzwa. Ipo Morombo sokoni, Arusha. Ukubwa mita kumi kwa tano (10x5). Bei shilingi milioni mbili na laki tatu (2,300,000)...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Natafuta car wash machine ya umeme. Mwenye details anitafute +255784355775 DAR ES SALAAM /ZANZIBAR
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza pikipiki yangu aina ya TVS Star HLX 125 (engine capacity 125), made in India , imetengenezwa 2017. Pikipiki iko kwenye hali nzuri, haijawahi kufunguliwa engine na naitumia kwa matumizi...
1 Reactions
3 Replies
4K Views
Mashine Ipo Ruguruni (Vituo Viwili kutoka Mbezi Mwisho) Tunakodisha kwa laki 5 (Maongezi Yapo) kwa mwezi kwa mashine zote mbili na godown lake.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Aina ya tyre tulizonazo Name Size Pattern Price Steer/Trailer. 385//65R22.5. 396. 545,000/= Diff/Drive. 315/80R22.5. 700. 475,000/= All Position. 315/80R22.5. 300. 450,000/= 7.50-Diff/Drive...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…